UZINDUZI MAALUM WA NGUO ZA T.I WATANGAZWA DAR
![](http://api.ning.com:80/files/6q4t4dNL56kamYH7eMhNYMFf0grUFNHBQRO0sg97ne3mDV8wyjUuxtxouu1HcghiNDkUF43PMbLzjet8DagFgiAjQNlwOJHF/T.I1.jpg?width=600)
Rappa kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki watakaopiga shoo katika Usiku wa Fiesta 2014 viwanja vya Leaders Club.  WAKATI ukidhani kwamba Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 halitakuwa na kitu kingine kikubwa kufuatia taarifa kuwa mshindi wa tuzo ya Grammy rapa T.I. ataongoza shoo siku hiyo, imetangazwa kwamba kutakuwa na uzinduzi maalum wa nguo anazotumia T.I. kama vile Hustle Gang,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oK8uifLckp8/VdM-HsnmoOI/AAAAAAAHyBw/HFp5V1B6Myc/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
UZINDUZI WA MASHINDANO YA POLISI JAMII KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM - KAMISHNA KOVA CUP KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-oK8uifLckp8/VdM-HsnmoOI/AAAAAAAHyBw/HFp5V1B6Myc/s1600/images%2B%25281%2529.jpg)
Madhumini ya mashindano haya ni ni Kuwaunganisha wananchi wenye itikadi mbalimbali ili kupitia mashindano haya watakaoshiriki watajifunza masuala ya usalama, uzalendo na kuzingatia utaifa kwa madhumuni ya kuwashirikisha kikamilifu katika ulinzi wa nchi na kudumisha amani ...
11 years ago
Dewji Blog03 May
Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge zawakumbusha Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kuwa Wazalendo
![MW1A](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/MW1A.jpg)
Na: Aron Msigwa na Frank Shija- MAELEZO
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal ametoa wito kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kufanya maamuzi yanayozingatia maslahi mapana ya taifa ili kufanikisha...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA WAZAZI NIPENDENI NI KESHO VIWANJA VYA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM MAANDALIZI YAMEKAMILIKA WANA MUZIKI LULUKI KUTOA BURUDANI WANDUGU SAIDIA TUTANI UZINDUZI RASMI NI KESHO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PWFlZvsjY6k/VJVrc-nZSxI/AAAAAAAAUrs/yXuWWtK7s1Y/s72-c/kariakoo1.jpg)
shamrashamra za manunuzi ya nguo za krismasi mtaa wa kongo jijini dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-PWFlZvsjY6k/VJVrc-nZSxI/AAAAAAAAUrs/yXuWWtK7s1Y/s1600/kariakoo1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BnZazlGpsKg/VJVtF1y3naI/AAAAAAAAUt0/5OYGdgdbveg/s1600/kariakoo2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TWeWZPlUQ5s/VJVrrbCayBI/AAAAAAAAUtA/Lv1OIpREDTM/s1600/kariakoo5.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-307gtfge5FA/XsZ_EUi9ktI/AAAAAAALrIM/zkfyYneA05M5bXcIE2O03YCxZ9aPNc7AwCLcBGAsYHQ/s72-c/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
RC MAKONDA ATANGAZA PUNGUZO LA BEI HADI 80% KWENYE MADUKA MAKUBWA YA NGUO DAR.
![](https://1.bp.blogspot.com/-307gtfge5FA/XsZ_EUi9ktI/AAAAAAALrIM/zkfyYneA05M5bXcIE2O03YCxZ9aPNc7AwCLcBGAsYHQ/s640/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
RC Makonda amesema Miongoni mwa Maduka Makubwa yaliyoamua kutoa punguzo la bei ni pamoja na Mr. Price na Red Tag ya Mlimani city, Vunja Bei, Maduka yaliyopo City Mall pamoja na...
10 years ago
Michuzi22 Jun
AIRTEL FURSA "TUNAKUWAWEZESHA" YAMUWEZESHA FUNDI NGUO, BETHA BENEDICT MKAZI WA BUNJU JIJINI DAR
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1261.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2183.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/3152.jpg)
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Uchaguzi wa BAVICHA watangazwa
Mwenyekiti wa Taifa, Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA), John Heche.(Picha na Maktaba)
Na Mwandishi wetu
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Septemba 10, mwaka huu kutokana na umri wake kuwa mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Heche alisema anaheshimu Katiba ya chama hicho ambapo kutokana na umri wake kuvuka miaka 30, hatagombea tena nafasi...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Wosia wa Mandela watangazwa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-8ZygurdmYJ4/VQiFxJ9709I/AAAAAAADc10/CZniigaRuX0/s72-c/image.jpeg)
WAFUNGWA GEREZA KUU UKONGA, DAR ESALAAM MAHIRI KWA USHONAJI WA NGUO ZA AINA MBALIMBALI MAGEREZANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8ZygurdmYJ4/VQiFxJ9709I/AAAAAAADc10/CZniigaRuX0/s1600/image.jpeg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10