Manara: Mimi shabiki wa Niyonzima
SIKU moja baada ya Klabu ya Yanga kumtupia virago winga wake, Haruna Niyonzima, msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema yeye ni shabiki mkubwa wa mchezaji huyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio)
Siku moja baada ya klabu ya Dar Es Salaam Young African kutangaza maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa wa Rwanda aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Haruna Niyonzima. Mengi yameanza kuandikwa na kuulizwa eti klabu ya Simba inamnyatia staa huyo wa Rwanda? Hili ndio jibu la afisa habari wa Simba Haji Manara. “Haruna […]
The post Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Manara anapofichua udhaifu wa wachezaji
JINA Kitwana Manara sio geni masikioni mwa wadau wa soka hapa nchini, hasa kutokana na umahiri aliokuwa nao langoni sambamba na kusakata kabumbu awapo dimbani. Manara ni miongoni mwa nyota...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rJ-_qwNRK64/XkVih6724KI/AAAAAAALdQM/OQQ2UXofTfk5EL8veENkXr3xjwFL1OaGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Ligi-kuu-1.jpg)
NUGAZ, MANARA WAPELEKWA KAMATI YA MAADILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-rJ-_qwNRK64/XkVih6724KI/AAAAAAALdQM/OQQ2UXofTfk5EL8veENkXr3xjwFL1OaGwCLcBGAsYHQ/s640/Ligi-kuu-1.jpg)
Kamati hiyo imeeleza kuwa viongozi hao wamekuwa wanatoa maneno ya kukashifu na kudhalilisha viongozi ,Chapa (Brand) ya Ligi na Taasisi kwa ujumla kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwa vipindi tofauti tofauti.
Wamesema viongozi na Makocha waliobainika ...
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Kitwana Manara: Bibi alinipeleka Yanga
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2zExn--dW5g/default.jpg)
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Hatuna kumbukumbu za Manara, tuanzie kwa Samatta
MBWANA Samatta amefunga mabao matatu ‘Hat-Trick’ katika mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya ti
Abdul Mkeyenge
5 years ago
Michuzi17 May
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Sunday Manara ‘Kompyuta’ Mtanzania wa kwanza Ulaya
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0oEbd28Q9B4/VkiRRjhFWWI/AAAAAAAIF7c/N8hmob2S4aQ/s72-c/Manara%25282%2529.jpg)
UCHAMBUZI WA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA WA HAJI MANARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0oEbd28Q9B4/VkiRRjhFWWI/AAAAAAAIF7c/N8hmob2S4aQ/s1600/Manara%25282%2529.jpg)