Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kitwana Manara: Bibi alinipeleka Yanga

Manara, wengi wakiwamo mashabiki wa soka hasa wa siku hizi wanamtambua kama mshambuliaji mahiri wa miaka ile.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Kitwana Ft Makamua — Nyie

Video mpya ya msanii Kitwana akimshirikisha Makamua wimbo unaitwa “Nyie” video imeongozwa na Hanscana

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA KAHAMA YARIDHISHWA KASI YA UJENZI MRADI WA MAJI NGOGWA - KITWANA


Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kahama ikiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Anamringi Macha imetembelea na kukagua ujenzi wa Mradi wa Maji Safi Ngogwa – Kitwana katika halmashauri ya Mji Kahama ambao unatarajiwa kukamilika Mwezi Agosti mwaka huu ukigharimu jumla ya shilingi Bilioni 2.4
Mradi huo unasimamiwa na kutekelezwa  na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Shinyanga (SHUWASA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA) pamoja na...

 

9 years ago

Habarileo

Manara: Mimi shabiki wa Niyonzima

SIKU moja baada ya Klabu ya Yanga kumtupia virago winga wake, Haruna Niyonzima, msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema yeye ni shabiki mkubwa wa mchezaji huyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manara anapofichua udhaifu wa wachezaji

JINA Kitwana Manara sio geni masikioni mwa wadau wa soka hapa nchini, hasa kutokana na umahiri aliokuwa nao langoni sambamba na kusakata kabumbu awapo dimbani. Manara ni miongoni mwa nyota...

 

5 years ago

Michuzi

NUGAZ, MANARA WAPELEKWA KAMATI YA MAADILI

KAMATI ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi ya bodi ya Ligi (TPLB) kimewataka Sekretarieti ya TFF  kufuatilia viongozi wa vilabu na Makocha  ambao hivi karibuni wamekuwa wakishutumu na kutoa matamshi yenye kukashifu na kudhalilisha.
Kamati hiyo imeeleza kuwa viongozi hao wamekuwa wanatoa maneno ya kukashifu na kudhalilisha viongozi ,Chapa (Brand) ya Ligi na Taasisi kwa ujumla kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwa vipindi tofauti tofauti.
Wamesema viongozi na Makocha  waliobainika ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hatuna kumbukumbu za Manara, tuanzie kwa Samatta

MBWANA Samatta amefunga mabao matatu ‘Hat-Trick’ katika mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya ti

Abdul Mkeyenge

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani