Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NUGAZ, MANARA WAPELEKWA KAMATI YA MAADILI

KAMATI ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi ya bodi ya Ligi (TPLB) kimewataka Sekretarieti ya TFF  kufuatilia viongozi wa vilabu na Makocha  ambao hivi karibuni wamekuwa wakishutumu na kutoa matamshi yenye kukashifu na kudhalilisha.
Kamati hiyo imeeleza kuwa viongozi hao wamekuwa wanatoa maneno ya kukashifu na kudhalilisha viongozi ,Chapa (Brand) ya Ligi na Taasisi kwa ujumla kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwa vipindi tofauti tofauti.
Wamesema viongozi na Makocha  waliobainika ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ngeleja,Chenge wapelekwa Maadili

Licha ya Bunge kuazimia kuwa wenyeviti wa kamati zake waliotajwa kuhusika kwenye kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow wavuliwe nyadhifa zao, hali imekuwa tofauti katika vikao vya kamati hizo vilivyoanza jana baada ya baadhi yao kuongoza vikao hivyo. Jana, Kamati Kuu ya CCM imeamua viongozi hao, Andrew Chenge, William Ngeleja Na Profesa Anna Tibaijuka wafikishwe Kamati ya Maadili ya chama.

 

10 years ago

GPL

UPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)

Kamati ya Usalama na Maadili tayari imemaliza kikao chake. Kamati Kuu itaanza kikao chake saa 10 jioni

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA MAADILI YAZINDULIWA MLOGANZILA


Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Charles Majinge akizungumza wakati wa uzinduzi wa kamati ya maadili katika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila

Baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa katika uzinduzi

Prof. Majinge na viongozi wakuu wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati ya maadili ya MNH-Upanga na Mloganzila.

Katibu Kanda ya Mashariki, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamati ya maadili CCM itaweza?

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, ameweka wazi kuwa chama kimeunda kamati za usalama na maadili kufanya kazi ya kuwabana wanaokiuka maadili. Kikwete alitoa kauli hiyo kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Vigogo sita CCM waitwa Kamati ya Maadili

>Vigogo sita ambao wanatajwa kuwa wanajiwinda kwa ajili ya kuwania urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu ujao, wameitwa mbele ya Kamati ya Ndogo ya Maadili ya chama hicho, kwa ajili ya kuhojiwa kwa tuhuma za kukiuka maadili.

 

9 years ago

Mwananchi

Blatter aiponda kamati ya maadili Fifa kumjadili

Wakati kamati ya maadili ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ikianza kumjadili, rais wa shirikisho hilo, Sepp Blatter ameiponda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani