Manara anapofichua udhaifu wa wachezaji
JINA Kitwana Manara sio geni masikioni mwa wadau wa soka hapa nchini, hasa kutokana na umahiri aliokuwa nao langoni sambamba na kusakata kabumbu awapo dimbani. Manara ni miongoni mwa nyota...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Manara: Mimi shabiki wa Niyonzima
SIKU moja baada ya Klabu ya Yanga kumtupia virago winga wake, Haruna Niyonzima, msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema yeye ni shabiki mkubwa wa mchezaji huyo.
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Kitwana Manara: Bibi alinipeleka Yanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rJ-_qwNRK64/XkVih6724KI/AAAAAAALdQM/OQQ2UXofTfk5EL8veENkXr3xjwFL1OaGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Ligi-kuu-1.jpg)
NUGAZ, MANARA WAPELEKWA KAMATI YA MAADILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-rJ-_qwNRK64/XkVih6724KI/AAAAAAALdQM/OQQ2UXofTfk5EL8veENkXr3xjwFL1OaGwCLcBGAsYHQ/s640/Ligi-kuu-1.jpg)
Kamati hiyo imeeleza kuwa viongozi hao wamekuwa wanatoa maneno ya kukashifu na kudhalilisha viongozi ,Chapa (Brand) ya Ligi na Taasisi kwa ujumla kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwa vipindi tofauti tofauti.
Wamesema viongozi na Makocha waliobainika ...
5 years ago
Michuzi17 May
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Sunday Manara ‘Kompyuta’ Mtanzania wa kwanza Ulaya
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Hatuna kumbukumbu za Manara, tuanzie kwa Samatta
MBWANA Samatta amefunga mabao matatu ‘Hat-Trick’ katika mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya ti
Abdul Mkeyenge
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s72-c/Manara(2).jpg)
Haji Sunday Manara ndie msemaji mpya wa Simba
![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s1600/Manara(2).jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally ameiambia Globu ya Jamii kuwa Manara atachua nafasi ya Humphrey Nyasio ambaye atapangiwa majukumu mengine.
"Kamati ya Utendaji ya Simba imemkabidhi jukumu Manara baada ya kujiridhisha pasi na shaka uzoefu wake katika masuala ya michezo na pia uzoefu wake katika mambo mbalimbali ya kiutawala, hivyo kuwa na imani kwamba...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0oEbd28Q9B4/VkiRRjhFWWI/AAAAAAAIF7c/N8hmob2S4aQ/s72-c/Manara%25282%2529.jpg)
UCHAMBUZI WA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA WA HAJI MANARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0oEbd28Q9B4/VkiRRjhFWWI/AAAAAAAIF7c/N8hmob2S4aQ/s1600/Manara%25282%2529.jpg)