Hatuna kumbukumbu za Manara, tuanzie kwa Samatta
MBWANA Samatta amefunga mabao matatu ‘Hat-Trick’ katika mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya ti
Abdul Mkeyenge
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z_xccy7NdH0/XqWg2ZXbSLI/AAAAAAALoSg/v3svFX6tJ0Ih_6kFtKgquAbkV09d_l53QCLcBGAsYHQ/s72-c/HAJI%2BMANARA%2B21.jpg)
ALICHOKISEMA HAJI MANARA BAADA YA MSANII DIMAOND PLATNUMZ KUTANGAZA KUCHANGIA KODI KWA KAYA 500 NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z_xccy7NdH0/XqWg2ZXbSLI/AAAAAAALoSg/v3svFX6tJ0Ih_6kFtKgquAbkV09d_l53QCLcBGAsYHQ/s400/HAJI%2BMANARA%2B21.jpg)
SIKU moja baada ya msanii marufu nchini Nassib Abdull a.k.a Diamond Platnumz kutangaza kuchangia Kodi ya pango kwa kaya 500 nchini ,Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara ameamu kivunja ukimya huku akimtaka auoe ili wakakutane peponi.
Diamond kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii ametangaza kusaidia kuchangia kod kwa kaya hizo 500 na utaratibu kwa watakaochangiwa utatolewa kesho Jumatatu ya Aprili 27 mwaka huu.
Baada ya ujumbe huo ,Manara ameamua kumpongeza Diamond...
10 years ago
Vijimambo27 Jul
Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/s480x480/10401981_10206449526990889_6289542229888818994_n.jpg?oh=81839c90cb8deef7131498511492f2b8&oe=565CB2A8)
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Katumbi aweka Sh bil 5 kwa Samatta
Ibrahim Mussa na Hans Mloli
MBWANA Samatta anaelekea kuweka rekodi nyingine ya kuwa mchezaji wa Tanzania mwenye thamani kubwa zaidi kwani Bosi wa TP Mazembe, Moise Katumbi ameitangazia Koninklijke Racing Club Genk ya Ubelgiji dau la euro milioni 2.5.
Kwa thamani ya sasa ya fedha, euro milioni 2.5 ni sawa na Sh bilioni 5.7, hivyo kama dili likikaa sawa Samatta ambaye ni straika wa zamani wa Simba atakuwa mchezaji ghali zaidi raia wa Tanzania.
Chanzo chetu makini kutoka ndani ya Klabu ya Genk,...
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Samatta: Ubingwa ni zawadi kwa mama
9 years ago
Habarileo06 Nov
Mogella: Ushindi Stars upo kwa Samatta
GWIJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania Zamoyoni Mogella, amesema timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itategemea ubora wa Mbwana Samatta kuifunga Algeria nyumbani.
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Samatta, Ulimwengu watupwa kwa Waarabu CAF
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
BAADA ya timu ya TP Mazembe (DRC) wanayochezea Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu, kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, sasa itakuwa na shughuli pevu kufika fainali baada ya kupangiwa Waarabu.
Samatta ndiye aliyekuwa chachu ya Mazembe kufika hatua hiyo baada ya kufunga mabao matatu ‘hat trick’, wakati miamba hiyo ilipoifunga Moghreb Tetouan ya Morocco mabao 5-0 wikiendi iliyopita.
Mabao hayo yalimfanya Samatta kuondoa ukame wa...
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Kiatu cha dhahabu chanukia kwa Samatta
9 years ago
Habarileo30 Dec
Manara: Mimi shabiki wa Niyonzima
SIKU moja baada ya Klabu ya Yanga kumtupia virago winga wake, Haruna Niyonzima, msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema yeye ni shabiki mkubwa wa mchezaji huyo.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Manara anapofichua udhaifu wa wachezaji
JINA Kitwana Manara sio geni masikioni mwa wadau wa soka hapa nchini, hasa kutokana na umahiri aliokuwa nao langoni sambamba na kusakata kabumbu awapo dimbani. Manara ni miongoni mwa nyota...