Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatuna kumbukumbu za Manara, tuanzie kwa Samatta

MBWANA Samatta amefunga mabao matatu ‘Hat-Trick’ katika mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya ti

Abdul Mkeyenge

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ALICHOKISEMA HAJI MANARA BAADA YA MSANII DIMAOND PLATNUMZ KUTANGAZA KUCHANGIA KODI KWA KAYA 500 NCHINI

Na Ripota Wetu,Michuzi TV
SIKU moja baada ya msanii marufu nchini Nassib Abdull a.k.a Diamond Platnumz kutangaza kuchangia Kodi ya pango kwa kaya 500 nchini ,Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara ameamu kivunja ukimya huku akimtaka auoe ili wakakutane peponi.
Diamond kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii ametangaza kusaidia kuchangia kod kwa kaya hizo 500 na utaratibu kwa watakaochangiwa utatolewa kesho Jumatatu ya Aprili 27 mwaka huu.
Baada ya ujumbe huo ,Manara ameamua kumpongeza Diamond...

 

10 years ago

Vijimambo

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU.Jamaa ana kumbukumbu sana.Na nahisi hapo anamuangalia Lowassa na kukumbuka yote aliyowahi kusema juu yake.Kisha.......
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO

 

9 years ago

Global Publishers

Katumbi aweka Sh bil 5 kwa Samatta

SamataBwana580211.jpgIbrahim Mussa na Hans Mloli

MBWANA Samatta anaelekea kuweka rekodi nyingine ya kuwa mchezaji wa Tanzania mwenye thamani kubwa zaidi kwani Bosi wa TP Mazembe, Moise Katumbi ameitangazia Koninklijke Racing Club Genk ya Ubelgiji dau la euro milioni 2.5.

Kwa thamani ya sasa ya fedha, euro milioni 2.5 ni sawa na Sh bilioni 5.7, hivyo kama dili likikaa sawa Samatta ambaye ni straika wa zamani wa Simba atakuwa mchezaji ghali zaidi raia wa Tanzania.

Chanzo chetu makini kutoka ndani ya Klabu ya Genk,...

 

9 years ago

Mwananchi

Samatta: Ubingwa ni zawadi kwa mama

Mshambuliaji wa TP Mazembe, Mbwana Samatta amesema medali yake ya ubingwa wa Ligi ya Mabingwa na ufungaji bora wa Afrika, ameitoa kwa baba na marehemu mama yake.

 

9 years ago

Habarileo

Mogella: Ushindi Stars upo kwa Samatta

GWIJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania Zamoyoni Mogella, amesema timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itategemea ubora wa Mbwana Samatta kuifunga Algeria nyumbani.

 

9 years ago

Mtanzania

Samatta, Ulimwengu watupwa kwa Waarabu CAF

Samatta-UlimwenguNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

BAADA ya timu ya TP Mazembe (DRC) wanayochezea Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu, kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, sasa itakuwa na shughuli pevu kufika fainali baada ya kupangiwa Waarabu.

Samatta ndiye aliyekuwa chachu ya Mazembe kufika hatua hiyo baada ya kufunga mabao matatu ‘hat trick’, wakati miamba hiyo ilipoifunga Moghreb Tetouan ya Morocco mabao 5-0 wikiendi iliyopita.

Mabao hayo yalimfanya Samatta kuondoa ukame wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kiatu cha dhahabu chanukia kwa Samatta

Ligi ya Mabingwa Afrika imefika patamu. Klabu ya USM Alger ya Algeria  itakutana na TP Mazembe ya DR Congo katika mechi ya fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayochezwa kwenye Uwanja wa Du 5 Juillet mjini Algiers, Algeria kati ya Oktoba 30 na Novemba 1, 2015 na mechi ya marudiano itachezwa kwenye Uwanja wa Frederic Kibassa Maliba mjini Lubumbashi, DR Congo kati ya Novemba 6 na 8, 2015.

 

9 years ago

Habarileo

Manara: Mimi shabiki wa Niyonzima

SIKU moja baada ya Klabu ya Yanga kumtupia virago winga wake, Haruna Niyonzima, msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema yeye ni shabiki mkubwa wa mchezaji huyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manara anapofichua udhaifu wa wachezaji

JINA Kitwana Manara sio geni masikioni mwa wadau wa soka hapa nchini, hasa kutokana na umahiri aliokuwa nao langoni sambamba na kusakata kabumbu awapo dimbani. Manara ni miongoni mwa nyota...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani