Mogella: Ushindi Stars upo kwa Samatta
GWIJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania Zamoyoni Mogella, amesema timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itategemea ubora wa Mbwana Samatta kuifunga Algeria nyumbani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Nov
Samatta aitoa medali ya ushindi wa TP Mazembe kwa wazazi wake
![2731218_full-lnd-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2731218_full-lnd-1-300x194.jpg)
Mbwana Samatta amesema medali aliyoipata baada ya klabu yake ya TP Mazembe kuchukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika anaitoa kwaajili ya wazazi wake.
Samatta amesema anatamani kama mama yake angekuwepo uwanjani ili ashuhudie mafanikio ya mwanae.
“Nimemaliza nikiwa mfungaji bora lakini kitu nilichokuwa nakitamani sana ni kutwaa ubingwa, nilikuwa nahamu nao zaidi nah ii imekuwa historia kwangu,” Samatta alimwambia Shaffih Dauda.
“Naidadicate medali hii kwa mama yangu nadhani ingekua...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMqXIZ*72e-KIr-FtBY09gPsxOWJeFrQYbXuRUa9l32HB1FDg3YM9bSyT1VQ-kDhGzQ2hsFFjfBQVQIBXVM0KNU3/samata.gif?width=650)
Mbwana Samatta amtaja aliyeimaliza Stars
9 years ago
Habarileo11 Nov
JK aipa neno Stars, amfagilia Samatta
RAIS mstaafu wa Tanzania, Dk Jakaya Kikwete amesema Taifa Stars kama inahitaji ushindi katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Algeria inahitaji kujituma kwa moyo.
9 years ago
Habarileo08 Oct
Samatta, Ulimwengu waing’arisha Stars
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilitakata baada ya kuifunga Malawi `The Flames’ kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
9 years ago
Michuzi03 Sep
NGASA, ULIMWENGU, SAMATTA WAJIUNGA STARS
![](http://tff.or.tz/images/mkwasa.png)
9 years ago
Habarileo11 Nov
Samatta, Ulimwengu kuifuata Stars Dar
WASHAMBULIAJI mahiri wa Tanzania wanaoichezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbwana Ally Samatta na Thomas Ulimwengu wataungana na timu ya taifa jijini Dar es Salaam badala ya kwenda Afrika Kusini ambako imepiga kambi.
9 years ago
Habarileo09 Oct
Samatta atoa neno zito Stars
BAADA ya kufanikiwa kufunga bao moja katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Stars ikiwa nyumbani dhidi ya Malawi, Mbwana Samata amesema, kama wachezaji wa Stars wangekuwa makini basi wangeweza kufunga mabao mengi zaidi kwenye mchezo huo.
9 years ago
TheCitizen05 Nov
Samatta keen to fire Stars to glory
10 years ago
TheCitizen12 Nov
Stars’ Samatta, Ulimwengu for Swaziland date