Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mogella: Ushindi Stars upo kwa Samatta

GWIJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania Zamoyoni Mogella, amesema timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itategemea ubora wa Mbwana Samatta kuifunga Algeria nyumbani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Samatta aitoa medali ya ushindi wa TP Mazembe kwa wazazi wake

2731218_full-lnd-1

Mbwana Samatta amesema medali aliyoipata baada ya klabu yake ya TP Mazembe kuchukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika anaitoa kwaajili ya wazazi wake.

2731218_full-lnd-1

Samatta amesema anatamani kama mama yake angekuwepo uwanjani ili ashuhudie mafanikio ya mwanae.

“Nimemaliza nikiwa mfungaji bora lakini kitu nilichokuwa nakitamani sana ni kutwaa ubingwa, nilikuwa nahamu nao zaidi nah ii imekuwa historia kwangu,” Samatta alimwambia Shaffih Dauda.

“Naidadicate medali hii kwa mama yangu nadhani ingekua...

 

11 years ago

GPL

Mbwana Samatta amtaja aliyeimaliza Stars

Straika tegemeo katika kikosi cha Taifa Stars, Mbwana Samatta. Na Mwandishi Wetu
STRAIKA tegemeo katika kikosi cha Taifa Stars, Mbwana Samatta, ambaye juzi Jumapili aliiongoza timu hiyo kuibuka na ushindi dhidi ya Zimbabwe, ameibuka na kumtaja aliyewasumbua katika mchezo huo.
Mbwana ambaye anakichezea kikosi cha TP Mazembe cha DR Congo, alisema kiungo wa Zimbabwe, Kudakwashe Mahachi, ndiye alikuwa tatizo kwao.… ...

 

9 years ago

Habarileo

JK aipa neno Stars, amfagilia Samatta

RAIS mstaafu wa Tanzania, Dk Jakaya Kikwete amesema Taifa Stars kama inahitaji ushindi katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Algeria inahitaji kujituma kwa moyo.

 

9 years ago

Habarileo

Samatta, Ulimwengu waing’arisha Stars

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilitakata baada ya kuifunga Malawi `The Flames’ kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

NGASA, ULIMWENGU, SAMATTA WAJIUNGA STARS

Wachezaji watatu wa kimataifa wa Tanzania wanacheza soka la kulipwa nje ya nchi, Mrisho Ngasa (Free State – Afrika Kusini) Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta (TP Mazembe – Congo DRC) wamejiunga na kambi ya Taifa Stars iliyopo katika hoteli ya Urban Rose – Kisutu jana jijini Dar es salaam.Kocha Mkuu wa Taifa Stars Charels Mkwasa amewapokea wachezaji hao na jana kufanya mazoezi pamoja na wachezaji waliokuwa kambini nchini Uturuki saa 10 jioni katika uwanja Taifa jijini Dar salaam.Kwa mujibu wa...

 

9 years ago

Habarileo

Samatta, Ulimwengu kuifuata Stars Dar

WASHAMBULIAJI mahiri wa Tanzania wanaoichezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbwana Ally Samatta na Thomas Ulimwengu wataungana na timu ya taifa jijini Dar es Salaam badala ya kwenda Afrika Kusini ambako imepiga kambi.

 

9 years ago

Habarileo

Samatta atoa neno zito Stars

BAADA ya kufanikiwa kufunga bao moja katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Stars ikiwa nyumbani dhidi ya Malawi, Mbwana Samata amesema, kama wachezaji wa Stars wangekuwa makini basi wangeweza kufunga mabao mengi zaidi kwenye mchezo huo.

 

9 years ago

TheCitizen

Samatta keen to fire Stars to glory

aifa Stars forward Mbwana Samatta is ready to propel the team to the 2018 World Cup group stage, vowing to replicate his TP Mazembe form when Tanzania squares up against Algeria.

 

10 years ago

TheCitizen

Stars’ Samatta, Ulimwengu for Swaziland date

>National soccer team, Taifa Stars, have got a morale booster ahead of their international friendly against Swaziland on Sunday following the recovery of the two Tout Puissant (TP Mazembe) of Democratic Republic of Congo (DRC) strikers, Mbwana Samatta and Thomas Ulimwengu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani