Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samatta aitoa medali ya ushindi wa TP Mazembe kwa wazazi wake

2731218_full-lnd-1

Mbwana Samatta amesema medali aliyoipata baada ya klabu yake ya TP Mazembe kuchukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika anaitoa kwaajili ya wazazi wake.

2731218_full-lnd-1

Samatta amesema anatamani kama mama yake angekuwepo uwanjani ili ashuhudie mafanikio ya mwanae.

“Nimemaliza nikiwa mfungaji bora lakini kitu nilichokuwa nakitamani sana ni kutwaa ubingwa, nilikuwa nahamu nao zaidi nah ii imekuwa historia kwangu,” Samatta alimwambia Shaffih Dauda.

“Naidadicate medali hii kwa mama yangu nadhani ingekua...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA WAZAZI YA CCM KATA YA SINZA YAWASHUKURU WANACHAMA WAKE KWA KUKIPA USHINDI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA


 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akiwahutubia wanaccm wa Kata ya Sinza katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kufuatia kukipa ushindi chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni. Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Cholaje akihutubia katika mkutano huo.
 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kulia), akielezea mafanikio ya maendeleo ya wilaya hiyo pamoja na...

 

9 years ago

MillardAyo

TP Mazembe inatafuta mbadala wa Samatta? hawa ndio nyota wa Tanzania waliokwenda kwa majaribio …

Baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kuthibitisha kuwa yuko mbioni kuondoka TP Mazembe na kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, stori za January 2 ni kuwa klabu ya TP Mazembe imeita nyota wawali wa bongo kwenda kufanya majaribio. […]

The post TP Mazembe inatafuta mbadala wa Samatta? hawa ndio nyota wa Tanzania waliokwenda kwa majaribio … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Habarileo

Mogella: Ushindi Stars upo kwa Samatta

GWIJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania Zamoyoni Mogella, amesema timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itategemea ubora wa Mbwana Samatta kuifunga Algeria nyumbani.

 

9 years ago

Mwananchi

Samatta aipaisha TP Mazembe

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta ameiongoza TP Mazembe kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya USM Alger katika mchezo wa kwanza wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika mjini Bologhine.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Samatta aivizia TP Mazembe

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayechezea Klabu ya TP Mazembe ya DR. Congo, Mbwana Samatta, amesema hadi kufikia mwakani ndipo atajua hatima yake ya kucheza soka Barani Ulaya. Samatta, nyota...

 

9 years ago

Mtanzania

Samatta ajibebesha mzigo TP Mazembe

SamataNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga TP Mazembe (DRC), Mbwana Samatta, amejibebesha mzigo baada ya kudai kuwa anataka kuiachia timu hiyo taji la Ligi ya Mabingwa Afrika kabla ya kutimkia Ulaya mwakani.

Samatta aliyeivusha TP Mazembe hadi nusu fainali ya michuano hiyo wikiendi iliyopita kwa kufunga mabao matatu ‘hat trick’ walipoifunga Moghreb Tetouan ya Morocco mabao 5-0, anamalizia mkataba wake kwa matajiri hao Februari mwakani.

Wakati...

 

10 years ago

GPL

Samatta arejea TP Mazembe kishujaa

Mhambuliaji Mbwana Samatta. Na Mwandishi Wetu    
MSHAMBULIAJI Mbwana Samatta sasa anarejea nchini DR Congo kuendelea kuichezea klabu yake ya TP Mazembe, akionekana kama shujaa kutokana na kufaulu licha ya kushindwa kuchukuliwa kucheza Ulaya. Samatta alifanya majaribio katika kikosi cha CSKA Moscow cha Russia ambacho kilikuwa kimeweka kambi nchini Hispania.Meneja wa Mbwana Samatta, Jamal Kisongo amesema baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Samatta mchezaji bora TP Mazembe

Mbwana Samatta ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka 2013 wa klabu ya Tout Puissant Mazembe.

 

9 years ago

TheCitizen

Samatta sends TP Mazembe to CAF final

Taifa Stars’ striker, Mbwana Samatta yesterday sent a ‘warning message’ to the Flames of Malawi after striking twice when his Congolese side, TP Mazembe beat Al-Merreikh of Sudan 3-0 to qualify for the CAF Champions League final.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani