TP Mazembe inatafuta mbadala wa Samatta? hawa ndio nyota wa Tanzania waliokwenda kwa majaribio …
Baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kuthibitisha kuwa yuko mbioni kuondoka TP Mazembe na kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, stori za January 2 ni kuwa klabu ya TP Mazembe imeita nyota wawali wa bongo kwenda kufanya majaribio. […]
The post TP Mazembe inatafuta mbadala wa Samatta? hawa ndio nyota wa Tanzania waliokwenda kwa majaribio … appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Nov
Samatta aitoa medali ya ushindi wa TP Mazembe kwa wazazi wake
![2731218_full-lnd-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2731218_full-lnd-1-300x194.jpg)
Mbwana Samatta amesema medali aliyoipata baada ya klabu yake ya TP Mazembe kuchukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika anaitoa kwaajili ya wazazi wake.
Samatta amesema anatamani kama mama yake angekuwepo uwanjani ili ashuhudie mafanikio ya mwanae.
“Nimemaliza nikiwa mfungaji bora lakini kitu nilichokuwa nakitamani sana ni kutwaa ubingwa, nilikuwa nahamu nao zaidi nah ii imekuwa historia kwangu,” Samatta alimwambia Shaffih Dauda.
“Naidadicate medali hii kwa mama yangu nadhani ingekua...
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Samatta aivizia TP Mazembe
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayechezea Klabu ya TP Mazembe ya DR. Congo, Mbwana Samatta, amesema hadi kufikia mwakani ndipo atajua hatima yake ya kucheza soka Barani Ulaya. Samatta, nyota...
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Samatta aipaisha TP Mazembe
9 years ago
Bongo517 Nov
Hawa ndio maproducer wa Tanzania waliotengeneza hits nyingi zaidi – 2015
![Producers](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Producers-300x194.jpg)
Tunaposema muziki wa Tanzania unazidi kukua kimataifa, pamoja na jitihada za wasanii wenyewe, watayarishaji wa muziki wana mchango mkubwa zaidi katika mafanikio hayo. Hii ni orodha ya watayarishaji wa muziki waliotengeneza hits nyingi zaidi mwaka 2015.
1. Nahreel (The Industry)
Nyimbo alizotayarisha mwaka huu
1. Nana – Diamond Platnumz
2. Nobody But Me – Vanessa Mdee
3. Never Ever – Vanessa Mdee
4. Nusu Nusu – Joh Makini
5. Don’t Bother –Joh Makini f/ AKA
6. Jux f/ Joh Makini – Looking For...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Samatta mchezaji bora TP Mazembe
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Samatta ajibebesha mzigo TP Mazembe
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga TP Mazembe (DRC), Mbwana Samatta, amejibebesha mzigo baada ya kudai kuwa anataka kuiachia timu hiyo taji la Ligi ya Mabingwa Afrika kabla ya kutimkia Ulaya mwakani.
Samatta aliyeivusha TP Mazembe hadi nusu fainali ya michuano hiyo wikiendi iliyopita kwa kufunga mabao matatu ‘hat trick’ walipoifunga Moghreb Tetouan ya Morocco mabao 5-0, anamalizia mkataba wake kwa matajiri hao Februari mwakani.
Wakati...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v7CjzNTMdP9yX1CUFtGxSBVTIbKMjdYa5nxVPS6QCtJsxIBkeFkg-t9DZbyb38NnuMkT6pq1FV*Q9Vv6AAx0Ryp/Samatta.jpg?width=650)
Samatta arejea TP Mazembe kishujaa
10 years ago
Bongo Movies24 May
Hawa Ndio Washindi wa Tuzo za Taifa za Filamu, Tanzania Film Awards (TAFA)
1. Best Actress In Leading Role: Irene Paul
2. Best Comedian: King Majuto
3 .Best Supporting Actress: Grace Mapunda
4. Best Supporting Actor (Male): Tino Hisani Muya
5. Best Screenplay: Irene Sanga
6. Tribute Award (Film Industry Support) : President Jakaya Kikwete
7. Tribute Personality Award: Steven Kanumba
8. Tribute Media : Zamaradi Mketema For Takeone(Clouds TV/Fm)
9. Life Time Achievement Award: Mzee Jangala
10. Best Feature Film : Network
11. Best Director : John Kalaghe
12. Best...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Mazembe yampa Samatta ulaji mwingine
Mchezaji wa TP Mazembe, Mbwana Samatta.
Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam
MAMBO yanazidi kunoga kwani TP Mazembe sasa inataka kumuuza straika wake Mbwana Samatta kwa timu ya Standard Liege baada ya RC Genk kuonekana wana fedha kiduchu.
Hadi wiki iliyopita wakati wa sikukuu ya Krismasi, Mazembe ilikuwa ikizungumza na Genk pia ya Uturuki lakini klabu hiyo ilishindwa kulipa dau la euro milioni 2.5 (Sh bilioni 5.7), ikawa inataka ipunguziwe.
Bosi wa Mazembe, Moise Katumbi alisafiri hadi Ubelgiji...