Samatta sends TP Mazembe to CAF final
Taifa Stars’ striker, Mbwana Samatta yesterday sent a ‘warning message’ to the Flames of Malawi after striking twice when his Congolese side, TP Mazembe beat Al-Merreikh of Sudan 3-0 to qualify for the CAF Champions League final.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Samatta aivizia TP Mazembe
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayechezea Klabu ya TP Mazembe ya DR. Congo, Mbwana Samatta, amesema hadi kufikia mwakani ndipo atajua hatima yake ya kucheza soka Barani Ulaya. Samatta, nyota...
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Samatta aipaisha TP Mazembe
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/BD95/production/_86433584_finalimages-495167358.jpg)
Mazembe seize advantage in final
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Samatta mchezaji bora TP Mazembe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v7CjzNTMdP9yX1CUFtGxSBVTIbKMjdYa5nxVPS6QCtJsxIBkeFkg-t9DZbyb38NnuMkT6pq1FV*Q9Vv6AAx0Ryp/Samatta.jpg?width=650)
Samatta arejea TP Mazembe kishujaa
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Samatta ajibebesha mzigo TP Mazembe
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga TP Mazembe (DRC), Mbwana Samatta, amejibebesha mzigo baada ya kudai kuwa anataka kuiachia timu hiyo taji la Ligi ya Mabingwa Afrika kabla ya kutimkia Ulaya mwakani.
Samatta aliyeivusha TP Mazembe hadi nusu fainali ya michuano hiyo wikiendi iliyopita kwa kufunga mabao matatu ‘hat trick’ walipoifunga Moghreb Tetouan ya Morocco mabao 5-0, anamalizia mkataba wake kwa matajiri hao Februari mwakani.
Wakati...
9 years ago
TheCitizen09 Nov
TP Mazembe clinch fifth CAF title
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Mazembe yampa Samatta ulaji mwingine
Mchezaji wa TP Mazembe, Mbwana Samatta.
Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam
MAMBO yanazidi kunoga kwani TP Mazembe sasa inataka kumuuza straika wake Mbwana Samatta kwa timu ya Standard Liege baada ya RC Genk kuonekana wana fedha kiduchu.
Hadi wiki iliyopita wakati wa sikukuu ya Krismasi, Mazembe ilikuwa ikizungumza na Genk pia ya Uturuki lakini klabu hiyo ilishindwa kulipa dau la euro milioni 2.5 (Sh bilioni 5.7), ikawa inataka ipunguziwe.
Bosi wa Mazembe, Moise Katumbi alisafiri hadi Ubelgiji...
11 years ago
TheCitizen01 Mar
Samatta leads TP Mazembe in stern test