Jokate Mwegelo: Wasanii wa nje wameendeleza vipaji vyetu
NA JENNIFER ULLEMBO
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ‘Jojo’, ameweka wazi kwamba tabia ya kuwashirikisha wasanii maarufu kutoka nje ya nchi katika baadhi ya nyimbo za wasanii wa ndani kumeinua na kuendeleza vipaji vya wanamuziki wa Tanzania.
Jokate alisema hali hiyo ndiyo iliyomsukuma aendelee kuwashirikisha wasanii wa nje katika muziki anaofanya ili akuze kipaji na kutanua soko la muziki wake.
“Jina langu limepiga hatua kubwa katika masuala ya mitindo na ubunifu, hivyo nataka nijulikane zaidi na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Dec
SAIDI KANDA, MTANZANIA ANAYETHIBITISHA NIDHAMU NA VIPAJI VYETU WAAFRIKA ULAYA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V2dFrzf2lMo/VWBA6LlW-OI/AAAAAAAHZUY/80fP7sO1Yqc/s72-c/Efm-logo-jpg-1024x542.png)
11 years ago
GPLJOKATE MWEGELO AZINDUA MRADI MPYA WA KIDOTI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EPzTrzstEIc/U3H0kZKjSUI/AAAAAAAFhVI/Znpc_iY9Y24/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Jokate Mwegelo awataka wahitimu wa vyuo vikuu kujiajiri
![](http://2.bp.blogspot.com/-EPzTrzstEIc/U3H0kZKjSUI/AAAAAAAFhVI/Znpc_iY9Y24/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q78h9MzM_2c/U3H0lTSMFTI/AAAAAAAFhVQ/Nf7bos1kZeM/s1600/unnamed+(20).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S01CYwFvibI/VD94kGxxTGI/AAAAAAAGq2E/_9YoTfU8Lq4/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Criss Mauki, Jokate Mwegelo, Siza Ma-MC Siku Ya Msanii
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Jokate Mwegelo msemaji kamati mpya Miss Tanzania
NA ESTHER MNYIKA
MSIMAMIZI wa mashindano ya Urembo Tanzania, ‘Miss Tanzania’, Hashimu Lundenga, ametambulisha kamati mpya ya muda inayoundwa na wajumbe 12 akiwemo Jokate Mwegelo aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006.
Mwenyekiti wa kamati hiyo ni Juma Pinto, makamu mwenyekiti, Lucas Ritta, katibu mkuu ni Doris Mollel na Joketi Mwegelo ambaye ndiye anakuwa msemaji wa kamati hiyo.
Wajumbe wengine ni Hoyce Temu, Mohamed Bawazir, Gladyz Shao, Magdalena Munisi, Shah Ramadhani, Hamm...
10 years ago
Bongo Movies09 Jun
Jokate Mwegelo Afunguka kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Uhusiano Wake na Alikiba
Wengi wanaamini kuwa Jokate Mwegelo na Alikiba kwasasa ni mtu na mpenzi wake japo wao hawajathibitisha hilo rasmi. Tetesi na hisia juu ya wawili hao kuzama kwenye dimbwi la mahaba zinachangiwa na picha zao kadhaa zinazoenea kwenye mtandao picha wa Instagram.
Lakini hatimaye Jokate amefunguka kwa mara ya kwanza kupitia mahojiano yake na Global TV. “Ni kwasababu Alikiba anapenda sana muziki na anajua muziki na anajua style mbalimbali.
Halafu ukitaka kuwa the best you obviously need to be...
9 years ago
Bongo527 Aug
Kamati mpya ya Miss Tanzania yatambulishwa, wamo warembo Jokate Mwegelo na Hoyce Temu