WAKUU WA MADEREVA, BODABODA DAR WAKANUSHA TAARIFA ZA MAANDAMANO
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Bodaboda na Bajaj Wilaya ya Temeke, Said Kagomba, akihojiwa na wanahabari. Katibu wa Chama cha Madereva wa Bodaboda na Bajaj Wilaya ya Ilala, Michael Roswe, akitoa ufafanuzi kwa wanahabari juu ya uvumi huo. WENYEVITI wa vyama mbalimbali vya madereva mkoani Dar es…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
PSPF watoa zawadi kwa washindi wa ligi ya madereva wa Bodaboda wa Kipunguni jijini Dar
10 years ago
GPLPSPF WATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI YA MADEREVA WA BODABODA WA KIPUNGUNI JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi
shangingi lapigwa kiberiti baada ya kugonga na kuuwa madereva watatu wa bodaboda jijini Dar es salaam leo


11 years ago
Michuzi
UONGOZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS WAKANUSHA TAARIFA ZA KUWAKA MOTO KWA HOTEL HIYO


UTAWALA NA WAFANYAKAZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS IMESIKITISHWA KWA TAARIFA ZILIZOSAMBAA KWENYE MITANDAO MBALIMBALI YA KIJAMII KUHUSU KUWA HOTELI YETU INAWAKA MOTO NA KUSABABISHA USUMBUFU MKUBWA KWA WATU WA MKOA WETU, NDUGU NA JAMAA WA WAFANYAKAZI WA...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Madereva 18 wa bodaboda kortini
MADEREVA 18 wa pikipiki maarufu kama bodaboda, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kupakia abiria bila leseni ya usafirishaji.
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Madereva 15 wa bodaboda mbaroni
11 years ago
Mwananchi21 Sep
RC awavaa madereva bodaboda
11 years ago
Michuzi17 Aug
WAGOSI WA KAYA WAKANUSHA TAARIFA YA WANA KIMANUMANU JUU YA KIPA KIJANA FIKIRI SULEIMANI MAPARA
Umesema taarifa hizo hazina ukweli wowote bali Fikirini bado ni mchezaji halali wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga na ni miongoni mwa wachezaji watakaoonekana kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Taarifa iliyotolewa leo kwa nyombo vya Habari...
11 years ago
Habarileo09 Jul
Madereva 180 bodaboda rumande
KUNA vijana waendesha bodaboda 180 waliokamatwa jijini Dar es Salaam na sasa wapo mahabusu, imedaiwa. Wengine 400 wametozwa faini na wengine wamehukumiwa kwa kosa la kuingiza bodaboda katikati ya Jiji.