Mzibua vyoo afa kazini
MZIBUA vyoo aliyefahamika kwa jina moja la Michael au ‘Babu Sele’ anayekadiriwa kuwa na miaka kati ya 40 hadi 45, mkazi wa Mwenge, jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mlinzi afa akiwa kazini
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mlinzi wa Ubalozi afa kazini
MLINZI wa Ubalozi wa Iran nchini, Ramadhan Rajab (55), mkazi wa Tabata amekufa ghafla baada ya kuanguka akiwa kazini.
11 years ago
Habarileo20 Feb
Afa kwa kunaswa na umeme kazini
MFANYAKAZI wa kiwanda cha MCL kilichopo Temeke, Joseph Fedolini (40), amekufa papo hapo baada ya kunaswa na umeme wakati akiwa kazini. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo alisema kifo hicho kilitokea jana usiku katika kiwanda hicho kilichopo maeneo ya Chang'ombe Viwandani.
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA VYOO MANISPAA YA SHINYANGA..AKUTANA NA VYOO VYA AJABU...KIMO CHA KULENGA KWENYE BOMBA
Hiki choo cha ajabu kiko Shinyanga maelezo yapo chini.Leo Jumatatu Novemba 30,2015 ambapo mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ameanza kufanya ziara kutembelea kata za manispaa hiyo ili kuangalia hali ya usafi wa mazingira kubwa zaidi ni kukagua vyoo vya wananchi ilimkukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.Mkuu huyo wa wilaya ya Shinyanga alikuwa ameambatana na mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Lewis Kalinjuna,mwanasheria wa manispaa hiyo Simon Jilanga,afisa afya wa manispaa hiyo...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Walimu wakosa vyoo
WALIMU wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Mandewa katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida hawana vyoo kwa miaka nane sasa, halia ainayowalazimu kutumia vyoo vya wanafunzi. Kufuatia hali hiyo,...
10 years ago
Habarileo22 Nov
Waadhimisha siku ya matumizi ya vyoo
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema ujenzi wa vyoo shuleni na matumizi yake utasaidia kupunguza maradhi ya mlipuko na kuimarisha afya za wanafunzi.
11 years ago
MichuziSHULE YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VYOO
10 years ago
Habarileo11 Nov
Asilimia 13 Moro hawana vyoo
Ofisa Afya wa Halmashauri ya Manispaa Morogoro, Gabriel Malisa amesema halmashauri hiyo ina kata tano zenye wakazi wasio na vyoo, ambayo ni sawa na asilimia 13 ya wakazi wote wa manispaa hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Geita wahimizwa kuchimba vyoo
WANANCHI wilayani Geita wametakiwa kutunza mazingira kwa kuchimba vyoo vya kudumu katika familia zao kuliko kuchimba vyoo ambavyo havina hadhi, hali inayochangia kwenda kujisaidia vichakani na maeneo mengine yasiyofaa. Kauli...