Asilimia 13 Moro hawana vyoo
Ofisa Afya wa Halmashauri ya Manispaa Morogoro, Gabriel Malisa amesema halmashauri hiyo ina kata tano zenye wakazi wasio na vyoo, ambayo ni sawa na asilimia 13 ya wakazi wote wa manispaa hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Asilimia 28 ya wakazi Dom hawana vyoo
ASILIMIA 72 ya wananchi wa mkoani Dodoma hawana vyoo bora huku asilimia 28 wakijisaidia katika vichaka na maeneo ya wazi. Haki hiyo inaelezwa kusababisha uchafuzi mkubwa wa mazingira na kuhatarisha...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Watu zaidi ya bilioni 2 hawana vyoo
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA VYOO MANISPAA YA SHINYANGA..AKUTANA NA VYOO VYA AJABU...KIMO CHA KULENGA KWENYE BOMBA
Hiki choo cha ajabu kiko Shinyanga maelezo yapo chini.Leo Jumatatu Novemba 30,2015 ambapo mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ameanza kufanya ziara kutembelea kata za manispaa hiyo ili kuangalia hali ya usafi wa mazingira kubwa zaidi ni kukagua vyoo vya wananchi ilimkukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.Mkuu huyo wa wilaya ya Shinyanga alikuwa ameambatana na mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Lewis Kalinjuna,mwanasheria wa manispaa hiyo Simon Jilanga,afisa afya wa manispaa hiyo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s72-c/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s400/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo
![Belle99](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Belle99-300x194.jpg)
Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO KUTOKA ASILIMIA 4.0 MWEZI JANUARI, 2015 HADI KUFIKIA ASILIMIA 4.2 MWEZI FEBRUARI, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1nLQAkCBnRM/VP3YEy7eD4I/AAAAAAAHJKE/yuUUI8PmvSI/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Walimu wakosa vyoo
WALIMU wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Mandewa katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida hawana vyoo kwa miaka nane sasa, halia ainayowalazimu kutumia vyoo vya wanafunzi. Kufuatia hali hiyo,...
11 years ago
MichuziSHULE YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VYOO