Mkutano wa Kimataifa wa siku mbili wa amani na Maendeleo endelevu wafanyika zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-sQxxAP8wwec/Va-_PL9s-VI/AAAAAAAHrHQ/MpyICZFBv6A/s72-c/unnamed%2B%252864%2529.jpg)
Wakati umefika sasa kwa Dunia kujikita zaidi katika kukabiliana na migogoro isiyokwisha kwenye baadhi ya Mataifa inayozaa makundi ya wakimbizi kutokana na vita vinavyosababishwa na ukabila na mfumo mbaya wa siasa unaozalisha wanawake wajane na watoto yatima na kuwafanya kukosa haki zao za msingi za kibinaadamu katika kuishi maisha ya salama na furaha. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein alisema hayo wakati akiufungua Mkutano wa Kimataifa wa siku Mbili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cB-g7mAaV5c/UzQisHfLk_I/AAAAAAAFWyQ/qhHYGXelGEc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
maalim seif akagua maendeleo ya ujenzi uwanja wa ndege wa kimataifa wa amani karume, zanzibar
Miradi hiyo inahusisha ukarabati na ujenzi wa njia za kupitia ndege wakati wa kuruka pamoja na sehemu ya maegesho ya ndege, ujenzi wa uzio wa eneo la uwanja wa ndege, pamoja na ujenzi wa jingo jipya la abiria (Terminal 2).
Akizungumza katika ziara ya kutembelea miradi hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uKXaXkmLqVo/VV1RiVB7aLI/AAAAAAAHYvw/rwhSdWFEf6w/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
Maalim Seif afunga mkutano wa siku mbili wa mashauriano kuhusu amani na utulivu wa nchi dar es salam
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziMaalim Seif afungua mkutano wa kimataifa wa siku nne wa muziki kwa nchi za jahazi, Zanzibar
BOFYA HAPA KWA HABARI...
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-otKwV0mDg3Y/VgpTS_yiXvI/AAAAAAAH7sk/55Y9TbEAU5M/s72-c/DSC_0207.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA MADAWA ZANZIBAR WAFANYIKA ZANZIBAR BEACH RESORT
![](http://3.bp.blogspot.com/-otKwV0mDg3Y/VgpTS_yiXvI/AAAAAAAH7sk/55Y9TbEAU5M/s640/DSC_0207.jpg)
NA RAMADHANI ALI/MAELEZO ZANZIBAR BODI ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDB) imeandaa miongozo ya utoaji huduma bora katika kufanikisha Mpango wa uwiano wa Itifaki ya pamoja kwa Nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tn8_2UAiQbQ/UvXXt4Dd9UI/AAAAAAAFLtM/t136cqeDR24/s72-c/unnamed+(48).jpg)
TASWIRA YA MKUTANO WA NANE WA MWISHO KUHUSU MAENDELEO ENDELEVU BAADA YA 2015