EBOLA: TISHIO KWA AMANI NA USALAMA WA KIMATAIFA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa La Guardia jijini Washington DC tayari kwa kushiriki katika mikutano mbalimbali na pia katika hafla ya "USIKU WA JAKAYA" iliyoandaliwa na jumuiya ya Watanzania DMV leo jioni
Rais Kikwete akilakiwa na maafisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani baada ya kuwasili hoteli aliyofikia
Karibu Washington DC Mheshimiwa
Rais akiendelea kusalimia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
EBOLA : TISHIO LA AMANI NA USALAMA WA KIMATAIFA

.jpg)
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA AMANI NA USALAMA WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI


10 years ago
Vijimambo06 Jan
UPUNGUFU WA POTASSIUM MWILINI, WAWEZA KUWA TISHIO KWA USALAMA WA MOYO .

11 years ago
Habarileo19 Sep
Ebola wadaiwa tishio kwa uchumi
MKUU wa Benki ya Dunia, Jim Kim amehadharisha kuwa kuenea kwa ugonjwa wa ebola kunaweza kusababisha janga la kiuchumi katika nchi za Guinea, Liberia na Sierra Leone na ametaka hatua zichukuliwe haraka ili kuzuia kuenea zaidi ugonjwa huo.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Tukuze utalii kwa kutangaza amani na usalama
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Tuzidi kuijenga Tanzania yetu kwa amani na usalama
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Ufaransa:Hatutavumilia tishio la usalama
11 years ago
BBCSwahili17 Sep
Obama:'Ebola ni tisho kwa usalama'
11 years ago
Mwananchi
Umaskini, ajira tishio la usalama Afrika Mashariki