Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaransa:Hatutavumilia tishio la usalama

Ufaransa sasa imemtaka balozi wa Marekani nchini kufika mbele yake kufuatia madai Marekani iliwachunguza marais wawili waliotangulia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Tishio la 'Bomu' lalazimu ndege ya Ufaransa kutua Kenya

Ndege ya Air France iliyokuwa ikielekea Paris imelazimika kutua kwa ghafla katika uwanja wa ndege wa Mombasa baada ya 'bomu' kupatikana ikiwa angani

 

10 years ago

Michuzi

EBOLA : TISHIO LA AMANI NA USALAMA WA KIMATAIFA

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa mwezi wa Septemba, Muwakilishi wa Kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Balozi Samantha Power akizungumza wakati wa Mkutano wa Dharura wa Baraza Kuu la Usalama, uliofanyika Alhamisi kwa lengo la kukusanya nguvu za Jumuiya ya Kimataifa katika kuukabili mlipuko wa Ebola ambao sasa unaangaliwa katika jicho la kuwa tishio la amani na usalama wa Kimataifa. Wajumbe wa Baraza Kuu la Usalama wakipiga kura ya kuunga mkono azimio namba...

 

11 years ago

Mwananchi

Umaskini, ajira tishio la usalama Afrika Mashariki

Sababu za zinazochochea uvunjifu wa amani na usalama katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Afrika kwa jumla zimetajwa kuwa ni pamoja na umaskini uliokithiri, ukosefu wa ajira sambamba na jamii kuwaachia viongozi pekee jukumu hilo.

 

10 years ago

Michuzi

EBOLA: TISHIO KWA AMANI NA USALAMA WA KIMATAIFA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa La Guardia jijini Washington DC tayari kwa kushiriki katika mikutano mbalimbali na pia katika hafla ya "USIKU WA JAKAYA" iliyoandaliwa na jumuiya ya Watanzania DMV leo jioni Rais Kikwete akilakiwa na maafisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani baada ya kuwasili hoteli aliyofikia Karibu Washington DC Mheshimiwa Rais akiendelea kusalimia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa usalama kufanyika Ufaransa

Mawaziri wa masuala ya ndani wa nchi za ulaya kukutana mjini Paris kujadili njia za kuboresha usalama kwenye usafiri wa reli

 

11 years ago

BBCSwahili

Usalama wa Nigeria kuangaziwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa Franswa Hollande anaanda mkutano hii leo mjini Paris kuangazia hali ya usalama nchini Nigeria.

 

10 years ago

Vijimambo

UPUNGUFU WA POTASSIUM MWILINI, WAWEZA KUWA TISHIO KWA USALAMA WA MOYO .

NDIZI HUSIFIKA KWA UTAJIRI WAKE WA MADINI YA POTASSIUMPotassium ni moja  kati  ya madini muhimu ya chumvi chumvi mwilini.Ikisaidiana na chumvu chumvi nyingine kama Calcium, Magnesium, Sodium, Potassium ni muhimu sana kwenye usimamiaji wa kiwango sahihi cha maji mwilini, utendaji wa cell na zaidi uanzishaji wa mwendo ( conduction of  electricity) katika  misuli ya mwili yenye mwendo hiari na mwendo usio wa hiari. Hivyo,Pottasium hupelekea mwamko katika mishipa ya moyo inayohusika na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Slaa: Hatutavumilia wanaovunja kanuni

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewataka wale wanaoshabikia uvunjwaji wa sheria, katiba na kanuni ndani ya vyama vya siasa kuanzisha vyama vyao vitakavyokumbatia mambo na kuviacha vyama vyenye malengo...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA

Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Mhe. Pereira Ame Silima (Mb.) (wa kwanza toka kushoto) akimweleza jambo Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania, Abigail Ambweni (wa tatu toka kushoto) wakati Baraza hili lilipotia saini makubaliano na kampuni hiyo kuendeleza ushirikiano katika kampeni za usalama barabarani ambazo Vodacom imekuwa ikidhamini tangu mwaka 2014. Akisikiliza pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza hilo na Kamanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani