Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Slaa: Hatutavumilia wanaovunja kanuni

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewataka wale wanaoshabikia uvunjwaji wa sheria, katiba na kanuni ndani ya vyama vya siasa kuanzisha vyama vyao vitakavyokumbatia mambo na kuviacha vyama vyenye malengo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ufaransa:Hatutavumilia tishio la usalama

Ufaransa sasa imemtaka balozi wa Marekani nchini kufika mbele yake kufuatia madai Marekani iliwachunguza marais wawili waliotangulia

 

9 years ago

StarTV

Serikali kuongeza adhabu kwa wanaovunja sheria kwa kuzidisha mizigo

Serikali inatarajia kuongeza adhabu ya makosa ya uzidishaji mizigo inayosafirishwa kwenye magari kwa njia barabara kuwa kubwa kuliko thamani ya mizigo inayosafirishwa ili kukomesha vitendo vya ukiukaji wa sheria za usafirishaji ambao unasababisha uharibifu wa barabara nchini.

Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano amesema kabla ya kufanya maamuzi hayo, watakaa na wadau wa barabara kuwashirikisha uamuzi huo ili kuzifanya barababra nchini kuwa salama.

 Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi...

 

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Marekebisho ya Kanuni balaa!

Marekebisho ya Kanuni za Bunge la Katiba jana yaliwagonganisha vichwa wajumbe kiasi cha kuanza kutambiana katika misimamo ya kiimani.

 

10 years ago

Mwananchi

Mangula: Kanuni zitawameza

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula amesema kanuni za uchaguzi za chama hicho zitawameza makada wake wanaotumia fedha kuwanunua wapigakura kama maandazi.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ewura yakamilisha kanuni

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imesema kuwa imetayarisha na kukamilisha kanuni ndogo za uendeshaji wa biashara ya mafuta nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na mamlaka hiyo, kanuni hizo ndogo ni za uendeshaji wa biashara ya mafuta ya vilainishi (lubricants).

“Kanuni hizo zipo tangu mwaka 2014 na zilichapishwa kwenye gazeti la serikali namba 64/2014,” inasomeka taarifa hiyo iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani