Mangula: Kanuni zitawameza
Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula amesema kanuni za uchaguzi za chama hicho zitawameza makada wake wanaotumia fedha kuwanunua wapigakura kama maandazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4dh6rwIpda91DvGLHF7BNxQWIJFFMvSabwuSSzGOmqSBhQolOQCXr6DIc6-BYEBvv*AO6loXZmFf3*SoiUbBst9/philip_mangula.jpg?width=600)
MANGULA AWATAKA VIONGOZI WA MATAWI KUSIMAMIA IPASAVYO KANUNI ZA UCHAGUZI, UONGOZI NA MAADILI
11 years ago
Michuzi05 Aug
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Mangula aifagilia Ukawa
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Mkosamali amlipua Mangula
MBUNGE wa Muhambwe mkoani hapa, Felix Mkosamali (NCCR Mageuzi), amemlipua Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula akidai kuwa ameondoka katika hoteli aliyofikia bila kulipa pango. Akihutubia mamia...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Mangula amtosa Lowassa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula, amemtosa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa katika harakati zake za kuwania urais. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Mbeya jana, Mangula...
10 years ago
Habarileo25 Apr
Mangula ‘asaka’ wasaliti CCM
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula amemaliza ziara yake katika majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam, na kuagiza kila mwanachama awe mlinzi wa mwenzake, amchunguze ili kuepuka wasaliti.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIyIua6im-E/XlS37tMVpYI/AAAAAAAAf1g/F4OgUfjxMxIUICNZm2vv0DXovI8lEWjTwCLcBGAsYHQ/s72-c/a-1.jpg)
MANGULA ALIA NA AMANI YA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WIyIua6im-E/XlS37tMVpYI/AAAAAAAAf1g/F4OgUfjxMxIUICNZm2vv0DXovI8lEWjTwCLcBGAsYHQ/s640/a-1.jpg)
MbungewaJimbo la Manyoni Mashariki Mhe. Danieli Mtuka aliyenyanyua mikono akitoa ufafanuzi kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philipo Japhet Mangula (mwenyemiwani) wakati alipotembelea kwenye mradi mkubwa washamba la pamoja la Korosho lenye zaidi ya ekari 12000 eneo la Masagati Manyoni Mkoani Singida leo kulia kwa Mangula ni Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Jackson Mwagisa (pichana John Mapepele)
![](https://1.bp.blogspot.com/-acGqKDWrkiA/XlS4GpKawVI/AAAAAAAAf1k/I4CFZINAnqwdCBOUUq1F6GZVQazQ7UTOwCLcBGAsYHQ/s640/b.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara,...
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Mangula awashukia wasaliti CCM
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema chama hicho kamwe hakitawafumbia macho viongozi wasaliti wasiokitakia mema chama hicho.
Amesema wanachama wake, wanatakiwa kuwafichua viongozi wa aina hiyo ili kukinusuru kisipoteze nafasi za majimbo na udiwani katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
“Endapo mwanachama au kiongozi, akibainika kufanya hujuma dhidi ya chama, atachukuliwa hatua kali ikiwemo ya kufukuzwa uanachama, CCM haina...