BARUA YA DR. SLAA KWA WAZIRI MKUU KUHUSIANA NA MWONGOZO KWENDA KINYUME NA KANUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-1RbodIHvZcM/VIenvrCY_fI/AAAAAAAARi8/64o-rBQ7sY8/s72-c/UTATA%2BWA%2BMWONGOZO%2BNA%2BPIA%2BMWONGOZO%2BKWENDA%2BKINYUME%2BNA%2B%2BKANUNI(1)-page-001.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qnyIcRaPxw0/VORCPC77RkI/AAAAAAAAGoM/BqBi9wCP0r4/s72-c/STARA%2BTHOMAS.jpg)
Kuhusiana na skendo ya kukutwa na mume wa mtu, Hii ndiyo barua nzito kwa mwanamuziki wa Injili na Bongo Fleva Stara Thomas
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnyIcRaPxw0/VORCPC77RkI/AAAAAAAAGoM/BqBi9wCP0r4/s640/STARA%2BTHOMAS.jpg)
Binafsi ni mzima. Naendelea na majukumu yangu kama kawaida. Nimekukumbuka kwa barua leo maana ni muda mrefu hatujaonana. Sikulaumu maana mjini mipango kama alivyoimba Mwanamuziki Ali Chocky wa Extra Bongo.Dhumuni la barua hii kwanza kabisa ni kukupa pole kwa tukio lililotokea juzikati maana suala la kukutwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SNKTMDNspZY/U_Tul29i0_I/AAAAAAAGBB0/xZ_wi-ZkQqA/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Tanzania yapokea mwongozo mpya wa Sheria na Kanuni za Haki za Binadamu
Tanzania imepokea mwongozo mpya juu ya Sheria na Kanuni zinazohusu haki za polisi kumweka mtuhumiwa chini ya ulinzi na kabla ya kesi kusikilizwa ili kuwapa uelewa wa kutosha wananchi juu ya haki zao za msingi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Katibu mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Mary Massay amesema mtuhumiwa anatakiwa kumhoji polisi kosa gani amekamatwa nalo kabla ya kufikishwa kituoni.
Bi Massay alisema wananchi wengi wamekuwa...
10 years ago
MichuziPOLISI WAMUHOJI DK. SLAA KWA SAA SITA KUHUSIANA NA TUHUMA ZA KUTAKA KUWEKEWA SUMU NA MLINZI WAKE
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7deyA4RdEQI/VlGrqcbO8hI/AAAAAAAIHvc/RMp4d9BfZSw/s72-c/e26121f6-4093-4c72-8361-ea2fe0d3036d.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA ASAFIRI KWA GARI TOKA DODOMA KWENDA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-7deyA4RdEQI/VlGrqcbO8hI/AAAAAAAIHvc/RMp4d9BfZSw/s640/e26121f6-4093-4c72-8361-ea2fe0d3036d.jpg)
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Waziri mkuu wa zamani wa Israel ahukumiwa kwenda jela
Ehud Olmert
Jerusalem, Israel
Mahakama Kuu ya Israel, imemhukumu aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kuanzia mwaka 2006-2009, Ehud Olmert kifungo cha miezi 18 jela baada ya kukutwa na hatia kwenye makosa ya kula rushwa yaliyokuwa yanamkabili.
Awali, Mei, 2014, Olmert alihukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kufuatia kukutwa na hatia katika makosa ya kupokea rushwa katika kipindi cha 1993 hadi 2003 alipokuwa Meya wa Jiji la Jerusalem. Baada ya hukumu ya awali, Olmert alikata rufaa na baada ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NwzqjDbzi6E/XrFkfPXcgMI/AAAAAAALpPA/UzfB9eBXl2UtPdEuQesbyRTHxkoK-oCQgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-05%2Bat%2B4.01.06%2BPM.jpeg)
SERIKALI YAVIFYEKA VYAMA 3,348 NI BAADA YA KWENDA KINYUME NA UANZISHWAJI WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-NwzqjDbzi6E/XrFkfPXcgMI/AAAAAAALpPA/UzfB9eBXl2UtPdEuQesbyRTHxkoK-oCQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-05%2Bat%2B4.01.06%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ivgJh601ico/XrFlCZW8m5I/AAAAAAALpPI/eTLqu70wfZkx7GhsjZYlcUbPNtnW4-V9wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-05%2Bat%2B4.02.08%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imetangaza kuvifuta rasmi vyama vya Ushirika 3,348...
5 years ago
StarTV19 Feb
Waziri Mkuu Majaliwa atua Iringa tayari kwenda Njombe.
10 years ago
Mtanzania10 Sep
Dk. Slaa: Sina barua ya msajili
![Dk. Wilbrod Slaa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Slaa.jpg)
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
NA ELIZABETH HOMBO
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema hajawahi kupokea barua yoyote kutoka kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, inayowataka waitishe mkutano wa Kamati Kuu ili kufanya marekebisho ya Katiba yao.
Wakati Dk. Slaa anatoa kauli hiyo, Julai, mwaka huu, Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa chama hicho, John Mnyika, alizungumza na vyombo vya habari kuwa Agosti, 2006...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Slaa: Hatutavumilia wanaovunja kanuni
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewataka wale wanaoshabikia uvunjwaji wa sheria, katiba na kanuni ndani ya vyama vya siasa kuanzisha vyama vyao vitakavyokumbatia mambo na kuviacha vyama vyenye malengo...