Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YAVIFYEKA VYAMA 3,348 NI BAADA YA KWENDA KINYUME NA UANZISHWAJI WAKE

Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo wakati akitangaza kuvifuta vyama 3,348 vya ushirika baada ya kwenda kinyume na uanzishwaji wake. Kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba.Mwenyekiti wa Vyama vya Ushirika nchini, Titus Kamani akizungumza na wandishi wa habari baada ya Serikali kupitia Waziri wa Kilimo kutangaza kuvifuta vyama 3,348 vya ushirika.
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imetangaza kuvifuta rasmi vyama vya Ushirika 3,348...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Msajili aonya uanzishwaji wa vyama vya siasa holela

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameonya tabia ya watu kuanzisha vyama vya siasa kama mchezo wa kuigiza na kuwarubuni Watanzania wakati ajenda zao hazina dhamira ya dhati kwa maendeleo ya nchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yawasaka wanaoishi nchini kinyume cha sheria

Wizara ya Mambo ya Ndani imeanza operesheni ya kuwasaka raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini kinyume cha sheria ili warudishwe makwao.

 

9 years ago

Vijimambo

JESHI LA POLISI MBEYA LAPIGA MARUFUKU KWENDA KUPIGA KURA UKIWA UMEVAA SARE ZA VYAMA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya


Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limetoa rai kwa wafuasi wa vyama vishiriki katika uchaguzi mkuu Octoba 25 mwaka huu kujiepusha kufika katika kituo cha kupigia kura wakiwa wamevaa nguo zenye picha za wagombea, maneno au nembo ama rangi za chama cha siasa.

Aidha wametakiwa , kuepuka kutumia uvumi, maneno ya uongo, hisia au visingizio vyenye lengo la kuwazuia wengine kwenda kupiga kura.
Pia amewataka  kuepuka kufanya kampeni katika kituo cha kupigia kura iwe kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Missy Elliott auonesha mwonekano wake wa sasa baada ya mwili wake kupungua sanaaa!

Rapper Missy Elliot ameshare picha ya muonekano wa mwili wake ulivyo hivi sasa, baada ya kupungua kwa kiasi kikubwa sana hadi unaweza usimtambue kwa haraka. Mwonekano wa sasa wa Missy Elliott Katika picha hiyo aliyoipost Instagram aliandika “Just got off stage thanks @ALEXANDERWANGNY and @hmusa for having me perform I enjoyed.” Muonekano wa 1998 Elliot […]

 

11 years ago

Dewji Blog

David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo

article-2690667-1F9E2D9C00000578-470_964x755

Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.

article-2690667-1F9D901500000578-575_964x642

Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.

article-2690667-1F9D9B6700000578-945_964x663

Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.

article-2690667-1F9D90A100000578-712_964x635

Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani