Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekebisho ya Kanuni balaa!

Marekebisho ya Kanuni za Bunge la Katiba jana yaliwagonganisha vichwa wajumbe kiasi cha kuanza kutambiana katika misimamo ya kiimani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekebisho ya Ugiriki 'yatafeli'

Harakati za kulikwamua taifa la Ugiriki katika madeni yake zimekosolewa na mawaziri ambao wamefutwa kazi kwa kupinga mpango huo.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Rasimu inahitaji marekebisho makubwa’

Siku moja kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba mjini Dodoma, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Hamid Mbwezeleni amesema rasimu hiyo inahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa kutokana na baadhi ya vifungu kugongana na vingine utekelezaji wake kuwa mgumu.

 

10 years ago

Habarileo

Marekebisho ya sheria ya ushahidi yaja

WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakar Khamis Bakary amesema marekebisho ya sheria ya ushahidi ya mwaka 1917 yapo katika hatua za mwisho ngazi za watendaji wakuu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanyarwanda waidhinisha marekebisho ya katiba

Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni yanaonyesha.

 

11 years ago

Mwananchi

Marekebisho CCM Kirumba utata

Katika hali isiyo ya kawaida wamiliki wa Uwanja wa CCM Kirumba, ambao ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanarushiana mpira na kushikwa wakishikwa na kigugumizi kuzungumzia ukarabati wa uwanja huo.

 

10 years ago

Michuzi

taa za barabarabi zikifanyiwa marekebisho

 Mafundi wa Taa za Barabarani jijini Dar wakiifanyia marekebisho moja ya taa hizo zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam iliyokuwa na hitilafu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na marekebisho ya sera ya haki

Marekani yaifanyia marekebisho sera ya haki sawa kwa wote,sasa wenye hisia za mapenzi ya jinsi moja,ruksa katika vikosi vyake.

 

10 years ago

Habarileo

Marekebisho Sheria ya HESLB yaondolewa

Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii, Margaret SittaSERIKALI imeondoa sehemu ya marekebisho ya sheria katika Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, kupinga ikidai itawanyima fursa wanafunzi kutoka familia masikini kupata mikopo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani