Marekebisho CCM Kirumba utata
Katika hali isiyo ya kawaida wamiliki wa Uwanja wa CCM Kirumba, ambao ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanarushiana mpira na kushikwa wakishikwa na kigugumizi kuzungumzia ukarabati wa uwanja huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV30 Oct
Mashabiki wa soka wapungua Uwanja wa CCM Kirumba.
Kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Rais wabunge na madiwani nchini Oktoba 25 pamoja na mchezo kati ya Yanga na timu ya Mwadui ya mkoani Shinyanga ni miongoni mwa sababu ambazo zimetajwa kuchangia mashabiki kutoingia katika uwanja wa CCM Kirumba kushuhudia mchezo wa ligi kuu baina ya Toto African ya Mwanza na JKT Mgambo
Huku Ligi kuu ikiwa imeingia katika raundi ya tisa ushindani mkali unazidi kuongezeka,
Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Toto African ya jijini Mwanza Godwin Aiko...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Kivumbi Miss Lake Zone kutimka CCM Kirumba leo
SHINDANO la Miss Lake Zone 2014, leo linakwenda kufikia tamati katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini hapa kwa warembo 18 kujimwaga jukwaani kuwania taji la kinyang’anyiro hicho kilichovuta hisia za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s72-c/STARS2.jpg)
TAIFA STARS TAYARI KUWAKABILI MALAWI KESHO CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s1600/STARS2.jpg)
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa bei za sh. 5,000 kwa mzunguko, sh. 12,000 kwa jukwaa kuu na sh.20,000 kwa viti vya jukwaa kuu maalum. Taifa Stars inashika nafasi ya 100 katika...
11 years ago
GPLTAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI LAZIDI KURINDIMA NDANI YA CCM KIRUMBA, MWANZA
11 years ago
Bongo510 Aug
Picha: Serengeti Fiesta 2014 Mwanza yafana ndani ya uwanja wa CCM Kirumba
11 years ago
Dewji Blog05 May
Rebecca Malope atikisa jiji la Mwanza mwendelezo wa Tamasha la Pasaka CCM Kirumba
Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini Rebecca Malope akifanya mambo makubwa mbele ya mashabiki waliofurika kwenye uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza jioni hii katika tamasha kubwa la Pasaka linaloandaliwa na kampuni ya Msama Promotion chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, baada ya lile la Shinyanga ambalo lilifanyika jana kwenye uwanja wa Kambarage mkoani humo, watu wengi wamefurika katika uwanja wa CCM Kirumba ambapo pia Mbunge wa jimbo la Sengerema (CCM) Mh.William...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/-X-NNNbnKLc/default.jpg)
WALIMU KATIKA SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA WA CCM KIRUMBA JIJINI MWANZA
9 years ago
StarTV17 Nov
Ligi daraja la pili Alliance Sports yaanza vema nyumbani CCM Kirumba.
Hekaheka za kuwania nafasi ya kufuzu kuingia ligi daraja la kwanza Tanzania Bara zimeanza katika uwanja wa michezo wa CCM Kirumba kwa timu ya soka ya Alliance Sports Academy ya Mwanza kumenyana na Madini Fc kutoka mkoani Arusha kwa kundi B
Mchezo huo uliokuwa wa ushindani mkubwa umemalizika kwa Timu ya Alliance kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi mpinzani wake Madini FC ya Arusha.
Mchezo huo uliokuwa na ushangiliaji wa aina yake kwa mashabiki wa timu ya Alliance Sports Academy ya...