taa za barabarabi zikifanyiwa marekebisho
Mafundi wa Taa za Barabarani jijini Dar wakiifanyia marekebisho moja ya taa hizo zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam iliyokuwa na hitilafu.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogBODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu Mashuhuri...
5 years ago
MichuziBODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Marekebisho ya Kanuni balaa!
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Marekebisho ya Ugiriki 'yatafeli'
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Marekani na marekebisho ya sera ya haki
10 years ago
Habarileo19 Mar
Marekebisho ya sheria ya ushahidi yaja
WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakar Khamis Bakary amesema marekebisho ya sheria ya ushahidi ya mwaka 1917 yapo katika hatua za mwisho ngazi za watendaji wakuu.
11 years ago
Mwananchi29 May
Marekebisho CCM Kirumba utata
10 years ago
Habarileo23 Nov
Marekebisho Sheria ya HESLB yaondolewa
SERIKALI imeondoa sehemu ya marekebisho ya sheria katika Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, kupinga ikidai itawanyima fursa wanafunzi kutoka familia masikini kupata mikopo.
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Wanyarwanda waidhinisha marekebisho ya katiba