Mkwasa afagilia ujio wa Maximo
KOCHA msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa, amefurahia mipango ya klabu hiyo kumleta Kocha Mbrazil, Marcio Maximo, kuinoa timu hiyo akisema anaamini kama atakuwa chini yake, atachota ujuzi. Mkwasa, nyota wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Kaze afagilia Loga kutimuliwa
9 years ago
Habarileo21 Sep
Sefue afagilia ubora wa nyaya za umeme
KATIBU Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue amesema soko la nyaya za umeme nchini limekua na ameipongeza kampuni inayohusika na kutengeneza nyaya ya East African Cables kwa kutengeneza nyaya zenye ubora wa hali ya juu.
11 years ago
Habarileo29 May
Mhubiri wa kimataifa afagilia amani ya Tanzania
MHUBIRI wa kimataifa, Dk Peter Youngren kutoka Canada amesema kinachomvutia kuja nchini mara kwa mara kufanya matamasha ya kirafiki, ni mazingira mazuri na sifa ya kipekee iliyo nayo Tanzania ambayo ni amani.
10 years ago
Habarileo27 Aug
Mkapa afagilia sheria kuzuia ulafi wa viongozi
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameungana na Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kuunga mkono mapendekezo ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi.
10 years ago
Habarileo22 Feb
Hawa Ghasia afagilia fao la elimu la LAPF
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, amesema fao la mkopo wa elimu linalotolewa na Mfuko wa Pensheni wa LAPF, ni msaada mkubwa kwa waajiri nchini ikiwemo Serikali.
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baba mzazi wa Nyalandu afagilia mwanae kutaka Urais
Baba yake Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,(Lazaro Samwel Nyalandu), mzee Samwel Nyalandu akizungumzia uamuzi wa mtotowake Lazaro kuwania urasi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Amedai amepokea uamuzi huo kwa mikono miwili akiamini kuwa Lazaro atamudu nafasi hiyo nyeti ya urais.
Na Nathaniel Limu, Singida
BABA mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini, Samwel Nyalandu (70), alisema amepokea kwa...
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
Balozi Iddi afagilia timu ya special Olympic ya Zanzibar
Mwalimu wa Timu ya Mchezo wa Watu wenye ulemavu wa Akili Zanzibar {Special Olympic} Maalim Amour Ali Khamis akisoma risala wakati wa hafla fupi ya kukabidhi medali za ushindi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwenye mashindano ya Kitaifa yaliyofanyika Kibaha.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Michezo cha Watu wenye ulemavu wa Akili Zanzibar Bibi Saada Hamad Ali akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Medali 32 walizopata wachezaji wa Zanzibar...
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Msanii Bobo Seretsane “Bo” wa Afrika kusini afagilia muziki wa Tanzania, apongeza tamasha Karibu Music!
Msanii nyota wa Afrika Kusini, Bo Denim “Bo” akitumbuiza jukwaani wakati wa tamasha la msimu wa pili la Karibu Music Festival..!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO-TANZANIA] Mwanamuziki nyota kutoka Afrika Kusini Bo Denim maarufu ‘Bo’ amewashukuru waandaji wa tamasha la Music Festival linalofanyika kila mwaka mjini hapa huku likihusisha vikundi na wanamuziki mbalimbali kutoka mataifaa tofauti ya Afrika nan je ya Afrikaa.
Bo ambaye usiku wa jana Novemba 7, aliweza kupiga shoo hiyo kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B-KPQcpsgUQ/U6r4WLsnz2I/AAAAAAACkS4/mQXJtFSF9sU/s72-c/13.jpg)
KUPANGA MIJI SIO KUKATA VIWANJA,AFAGILIA UTENDAJI KAZI WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA-PROF.TIBAIJUKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-B-KPQcpsgUQ/U6r4WLsnz2I/AAAAAAACkS4/mQXJtFSF9sU/s1600/13.jpg)
Alisema katika kipindi kifupi Shirika limefanya mageuzi makubwa kwenye sekta ya makazi na kwamba miradi hiyo itakapokamilika,itaifanya miji hiyo kuwa ya...