Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkapa afagilia sheria kuzuia ulafi wa viongozi

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Benjamin MkapaRAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameungana na Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kuunga mkono mapendekezo ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Karibu sheria ya kuzuia ulafi wa viongozi

 Tuliwahi kusema katika safu hii kuwa, iwapo Watanzania wangetakiwa kutoa maoni kuhusu taasisi ya umma ambayo wanadhani iliundwa kulinda masilahi ya viongozi badala ya wananchi, bila shaka wengi wangeinyooshea vidole Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria kudhibiti ulafi wa viongozi yatungwa

Rais wa Awamu ya Tatu, Ali Hassan MwinyiMAPENDEKEZO ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma, kutenganisha viongozi, mali na biashara zao, ili kuzuia ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma unaoendelea kutokea nchini yamewekwa hadharani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkapa atetea sheria ya maadili ya viongozi

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, amesema kuwa mgongano wa maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa Umma, unatokana na kutumia madaraka waliyonayo kuendeleza maslahi binafsi. Mkapa aliyasema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ashupalia sheria ya kuzuia bodaboda

MADEREVA wa pikipiki (bodaboda) jijini Dar es Salaam wamelalamikia kitendo cha Jeshi la Polisi kuwazuia kuingia ndani ya kivuko cha Kigamboni kwa madai ya kuziondoa pikipiki hizo katikati ya jiji....

 

10 years ago

Mtanzania

Mkapa aponda uteuzi wa viongozi

Elias Msuya na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, amekosoa uteuzi wa viongozi wa umma nchini akisema sera ya utumishi wa umma inayojali utaalamu haifuatwi.
Ametoa kauli hiyo wiki chache baada ya kuzuka mjadala wa uteuzi wa wakuu wa wilaya uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, huku ikielezwa haukuzingatia weledi, maadili na uzoefu kwa walioteuliwa.
Akizungumza katika siku ya pili ya uzinduzi wa Kavazi la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam jana, Mkapa aliyekuwa mtoa mada,...

 

9 years ago

Habarileo

Sheria kuzuia kelele yaanza kung’ata

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limeanza kung’ata kwa kutumia kanuni ili kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa kelele na mitetemo. Kwa sasa mtu akitaka kufanya sherehe mtaani, kupiga muziki kwa kelele, kuendesha ngoma za kukesha za nusu uchi (vigodoro) au ‘bai koko’ au kufanya ibada kwa kelele mitaani, atapaswa kulipa Sh milioni 10.

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi Afrika hawana ujasiri-Mkapa

RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa amesema hivi sasa hakuna viongozi wa Afrika wenye ujasiri na uthubutu kama walivyokuwa viongozi waasisi waliopigania uhuru wa nchi za Afrika na kukataa utawala wa kikoloni.

 

10 years ago

Habarileo

Mkapa awapa viongozi Afrika siri ya maendeleo

Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin MkapaVIONGOZI wa Afrika wametakiwa kubuni mikakati itakayowawezesha wananchi wote kushiriki katika shughuli za kimaendeleo.

 

10 years ago

KwanzaJamii

MKAPA: MMOMONYOKO WA MAADILI KWA VIONGOZI WA UMMA UNATISHA

Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa, amesema tatizo la mgongano wa maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma ni tatizo ambalo Tanzania inakabiliana nalo hivi sasa. Kadhalika, amesema licha ya serikali kufanikiwa katika kuhakikisha maadili nchini yanazingatiwa, bado lipo tatizo ambalo limeonekana kutopewa uzito unaostahili. Alisema hayo jijini Dar es Salaam jana wakati akifungua warsha ya kujadili mapendekezo ya kutungwa kwa sheria mpya ya kudhibiti mgongano wa maslahi miongoni mwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani