Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria kudhibiti ulafi wa viongozi yatungwa

Rais wa Awamu ya Tatu, Ali Hassan MwinyiMAPENDEKEZO ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma, kutenganisha viongozi, mali na biashara zao, ili kuzuia ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma unaoendelea kutokea nchini yamewekwa hadharani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Karibu sheria ya kuzuia ulafi wa viongozi

 Tuliwahi kusema katika safu hii kuwa, iwapo Watanzania wangetakiwa kutoa maoni kuhusu taasisi ya umma ambayo wanadhani iliundwa kulinda masilahi ya viongozi badala ya wananchi, bila shaka wengi wangeinyooshea vidole Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi.

 

10 years ago

Habarileo

Mkapa afagilia sheria kuzuia ulafi wa viongozi

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Benjamin MkapaRAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameungana na Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kuunga mkono mapendekezo ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria kudhibiti mgongano wa maslahi

MAPENDEKEZO ya Sheria mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi, miongoni mwa viongozi wa umma, yanatarajiwa kudhibiti viongozi wa umma kushiriki au kuendesha harambee na kutoa zawadi kubwa kubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza yaandaa sheria kudhibiti IS

Uingereza inaandaa sheria kupambana na ugaidi, kuzuia ongezeko la Waingereza wanaokwenda kupigana nchini Syria na Iraq.

 

10 years ago

Habarileo

Washauriwa kutunga sheria kudhibiti uchafu

MKUU wa Wilaya ya Ilemela, Manju Msambya ameshauri Halmashauri ya Manispaa kutunga sheria ndogo ya kuzuia utupaji ovyo wa mifuko ya rambo, ili kurejesha hadhi ya usafi kwenye manispaa hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

‘Sheria kudhibiti mavazi yasiyofaa ipo’

 MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Masoud Othman amesema sheria ya kudhibiti mavazi yanayokwenda kinyume na utamaduni ya Mzanzibari ikiwemo ya kuwadhalilisha wanawake ipo na haijafutwa.

 

11 years ago

Habarileo

Sheria yaja kudhibiti mabaraza ya ardhi

Profesa Anna TibaijukaWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema katika kudhibiti na kushughulikia malalamiko dhidi ya wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi, wako kwenye mchakato wa kuandaa kanuni zitakazodhibiti utendaji wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria ya kudhibiti mifugo yahofiwa kuibua vurugu

SERIKALI imetahadharishwa kuwapo uwezekano wa kujitokeza kwa vurugu za wakulima na wafugaji katika Kata ya Kisaki, mkoani Morogoro kutokana na kuundwa kwa sheria ya kudhibiti mifugo iliyopitishwa Januari 12, mwaka...

 

10 years ago

Habarileo

Sheria mpya kudhibiti dawa za kulevya yaja

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William LukuviSERIKALI imetunga Sheria mpya kali zaidi itakayoondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa matumizi ya Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Dawa za Kulevya Namba 9 ya mwaka 1995 inayotumika sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani