Balozi Iddi afagilia timu ya special Olympic ya Zanzibar
Mwalimu wa Timu ya Mchezo wa Watu wenye ulemavu wa Akili Zanzibar {Special Olympic} Maalim Amour Ali Khamis akisoma risala wakati wa hafla fupi ya kukabidhi medali za ushindi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwenye mashindano ya Kitaifa yaliyofanyika Kibaha.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Michezo cha Watu wenye ulemavu wa Akili Zanzibar Bibi Saada Hamad Ali akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Medali 32 walizopata wachezaji wa Zanzibar...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia aagana na balozi iddi seif zanzibar
.jpg)
10 years ago
Vijimambo
BALOZI IDDI AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR


10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Balozi Seif Iddi awatoa hofu madaktari wa Cuba, Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Kiongozi wa Madaktari wa Cuba Profesa Ulpiano Nyumbani kwake Vuga Mjini Zanzibar baada ya kuvamiwa na majambazi jana usiku yeye na wenzake maeneo kati ya Kikwajuni na SUZA.
Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi Msaidizi Kamishna wa Polisi { ACP } Mkadam Khamis Mkadam alisema Jeshi la Polisi Mkoa huo linawashikilia watu wawili miongoni mwa majambazi wanaotuhumiwa kuhusika na uvamizi wa Madaktari Bingwa wa Cuba katika...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi Seif Iddi afanya ziara Bandari ya Malindi,Zanzibar
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPL
BALOZI SEIF IDDI AFANYA ZIARA BANDARI YA MALINDI, ZANZIBAR
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Balozi Sefu Iddi abariki tamasha la 17 la ZIFF 2014 visiwani Zanzibar
Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na baadhi ya wageni alipowasili kwenye ufunguzi wa Tamasha la 17 la ZIFF Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya ZIFF Mh. Mahmoud Thabit Kombo.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na Mgeni maalum mwalikwa mwigizaji wa filamu ya MANDELA “Long Walk to Freedom” Terry Pheto ambayo ilifungua tamasha hilo la 17 la ZIFF usiku wa kuamkia leo visiwani...
10 years ago
Michuzi
BALOZI SEIF ALI IDDI AZINDUA KAMPENI JIMBO LA UZINI, ZANZIBAR
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF IDDI AFUNGUA RASMI SKULI YA SECONDARY YA FARAJA ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi Seif Iddi atemblea Wagonjwa Hospital ya Mnazi Mmoja,Zanzibar
Balozi seif alisema hayo wakati alipofanya ziara fupi ya kukagua watoto walioungua moto ambao wamelazwa katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar mara baada ya kumalizika kwa kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar...