Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Atupwa jela kwa kuiba nyaya za TTCL

MKAZI wa Kinondoni jijini Dar es Salaam Shaibu Ndina, amehukumiwa kwenda jela miaka minne kutokana na wizi wa nyaya za kampuni ya Simu Tanzania (TTCL). Hukumu hiyo ilitolewa juzi na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mahakama yamfunga Jela mwizi wa nyaya za TTCL

Kaimu kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Tarime na Rorya Costantino  Massawe (kulia) akizungumza na waandishi wa habari alipokuwa akiwaonyesha mtuhumiwa wa wizi wa nyaya za simu za shirika la Posta na simu (TTCL) alijulikana kwa jina la Werema   Wambura (kushoto). Picha na Samson Chacha

Mmoja wa watuhumiwa wa nyaya za simu. Picha hii haina uhusiano na habari hii.

Na Mwandishi Wetu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Salaam imemuhukumu kwenda jela miaka minne, Shaibu Muhidin Ndina baada ya kupatikana na kosa la kuiba nyaya za Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).

Hukumu hiyo imetolewa Agosti 25, 2014 katika mahakama hiyo na B. Mashabara baada ya mshtakiwa kutiwa hatiani kwa kosa hilo la wizi wa nyaya(cables) za kampuni ya TTCL zenye thamani ya shilingi milioni...

 

10 years ago

Habarileo

Atupwa jela miaka 30 kwa ujambazi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Isaralo, Majire Peter (27), kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.

 

11 years ago

Habarileo

Atupwa miaka 30 jela kwa unyang’anyi

MWANAUME mmoja amehukumiwa na mahakama ya wilaya ya Musoma mkoani Mara, kifungo cha miaka 30 jela na kuchapwa viboko 10, baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.

 

10 years ago

Habarileo

Atupwa jela miaka 30 kwa kumsaidia mtoto kubaka

MAMA aliyemsaidia mwanawe kubaka , Regina Kigelulye, ametupwa jela miaka 30 sawa na mtoto wake ambaye alikuwa anakabiliwa na kosa la kubaka, Sagimembe Mroso.

 

11 years ago

Habarileo

Atupwa jela miaka 65 kwa kumpa mimba mwanawe

MKAZI wa Mtaa wa Uhamila katika mji mdogo wa Rujewa, mkoani Mbeya, amehukumiwa miaka 65 jela kutokana na makosa matatu tofauti, yaliyotokana na kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Atupwa jela kwa kutosaini cheti cha ndoa

Karani wa mahakama afungwa jela kwa kukataa kutekeleza agizo la mahakama la kutoa cheti cha ndoa cha wapenzi jinsia moja Kentucky

 

10 years ago

CloudsFM

ASKOFU ATUPWA JELA MIAKA 32 KWA UJAMBAZI BENKI

Askofu wa Kanisa la Christian Fellowship Assemblies of God la Arusha, Jumanne Kilongola amehukumiwa kifungo cha miaka 32 jela baada ya kupatikana na hatia ya kupora Sh5.3 bilioni ndani ya Benki ya NBC, Tawi la Moshi Mei 21, 2004.
Katika hukumu hiyo iliyotolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kilimanjaro, Simon Kobelo, askofu huyo amehukumiwa kifungo hicho pamoja na raia watano wa Kenya baada ya kupatikana na hatia ya kufanya wizi huo kwa mtutu wa bunduki.

Kati ya...

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti atupwa jela kwa kulinda mkulima wa bangi

MAHAKAMA ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imemhukumu Mwenyekiti wa Kijiji cha Mbende, Alei Charles (Chadema) kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukiri kumlinda mshtakiwa Wenceslaus Namwanda “Pepea” anayemiliki shamba la bangi.

 

9 years ago

Habarileo

Raia wa Afrika Kusini atupwa jela kwa kuishi Zanzibar kinyume

RAIA wa Afrika Kusini amefungwa miaka mitatu jela Zanzibar kwa kosa la kujaribu kuishi Zanzibar kinyume cha Sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani