Mahakama yamfunga Jela mwizi wa nyaya za TTCL
Mmoja wa watuhumiwa wa nyaya za simu. Picha hii haina uhusiano na habari hii.
Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Salaam imemuhukumu kwenda jela miaka minne, Shaibu Muhidin Ndina baada ya kupatikana na kosa la kuiba nyaya za Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Hukumu hiyo imetolewa Agosti 25, 2014 katika mahakama hiyo na B. Mashabara baada ya mshtakiwa kutiwa hatiani kwa kosa hilo la wizi wa nyaya(cables) za kampuni ya TTCL zenye thamani ya shilingi milioni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Atupwa jela kwa kuiba nyaya za TTCL
MKAZI wa Kinondoni jijini Dar es Salaam Shaibu Ndina, amehukumiwa kwenda jela miaka minne kutokana na wizi wa nyaya za kampuni ya Simu Tanzania (TTCL). Hukumu hiyo ilitolewa juzi na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TgzoMpkNyxM/UzFLDeo33_I/AAAAAAAFWIk/laSsFZ6FgiU/s72-c/unnamed+(9).jpg)
watatu wadakwa na madaya ya kulevya, nyaya ya TTCL mkoani lindi
11 years ago
Habarileo20 Jun
Dereva TTCL jela miaka 3
WATU wanne akiwemo dereva wa Kampuni ya Simu (TTCL) wamehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya Sh milioni 1.8 baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa nyaya za simu zenye thamani ya Sh milioni 63.9.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s72-c/IMG-20150706-WA0017.jpg)
MAHAKAMA YAWAHUKUMU MRAMBA NA YONA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mBX0L__SGJo/VZrCHQ3_MYI/AAAAAAABRQk/xvrNsKfs7vM/s640/IMG-20150706-WA0021.jpg)
Hukumu hiyo imetolewa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumwenyi pamoja na Hakimu Saul Kinemela ambapo mtuhumiwa wa tatu wa kesi hiyo, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja amekutwa hana hatia.
Washitakiwa hao walikuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-si6PqY581wo/VidE0Fbo9SI/AAAAAAAIBcQ/e8kpMqqfxEY/s72-c/download.jpg)
MAHAKAMA YA WILAYA YA ILALA IMEMUHUKUMU KIFUNGO CHA MAISHA JELA MCHUNGAJI WA KANISA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-si6PqY581wo/VidE0Fbo9SI/AAAAAAAIBcQ/e8kpMqqfxEY/s1600/download.jpg)
Pia, mahakama hiyo imetaka mchungaji huyo amlipe fidia ya Shilingi milioni 2 mlalamikaji ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mbondole iliyoko Ukonga.
Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa, Ngomai alianza kumbaka mtoto huyo akiwa na umri wa miaka kumi na moja, wakati huo akisoma darasa la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OQTtdIkCPU0/XmlLdJ-mH2I/AAAAAAALisY/gHE2hLfecf8kyHCZ5Uc1gYGxhn9q3BRuwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200309-WA0029.jpg)
MAHAKAMA YAMHUKUMU MENEJA WA UKODI KWENDA JELA MIAKA MITANO KWA NJAMA ZA WIZI WA MIL.45.2
![](https://1.bp.blogspot.com/-OQTtdIkCPU0/XmlLdJ-mH2I/AAAAAAALisY/gHE2hLfecf8kyHCZ5Uc1gYGxhn9q3BRuwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200309-WA0029.jpg)
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoa wa Pwani, imemuhukumu aliyekuwa meneja wa kituo cha kuuza mafuta cha UKODI INTERNATIONAL COM LIMITED, Malima Charles miaka 40 mkazi wa Maili moja Kibaha, kwenda jela miaka mitano baada ya kumkuta na hatia katika makosa mawili yaliyokuwa yakimkabili ikiwemo kuvunja ofisi na wizi.
Akisoma hukumu hiyo iliyodumu kwa muda wa saa moja ambayo ilivuta hisia za wakazi wa Kibaha, Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Joyce Mushi, alieleza ...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Raia wanne wa China wahukumiwa miaka 20 jela kwa kosa la kuhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-1BIq66NTZYU/VnMFlIVetMI/AAAAAAAAVPM/RTUFVaP4vK4/s640/ndovu12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZMk73Npq4JY/VnMFkHdt44I/AAAAAAAAVPE/6-HoGPr4IZA/s640/ndovu.jpg)
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya.Jamiimojablog
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wanne wa China na kulipa faini baada ya kukutwa na hatia kwa makosa matatu ikiwemo uhujumu uchumi kwa kukutwa na pembe za faru.
Kabla ya kuanza kusoma hukumu Hakimu mfawidhi Michael Mteite alianza kuwashukuru Mawakili wa Serikali na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s72-c/mbowe.jpg)
MAHAKAMA YA KISUTU YAWATIA HATIANI KINA MBOWE, YAWAHUKUMU KILA MMOJA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA AU KULIPA FAINI YA MAMILIONI YA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s400/mbowe.jpg)
KISUTU, Dar es SalaamMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, imewatia hatiani viongozi wanane wa Chadema na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho Dk. Vicent Mashinji, katika mashtaka 12 kati ya 13 yaliyokuwa yanawakabili, isipokuwa shtaka la kwanza la kula njama.
Akisoma hukumu kwa washtakiwa hao, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo Thomas Simba,...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Wezi ‘wailiza nyaya’ Tanesco