Wezi ‘wailiza nyaya’ Tanesco
 Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema chanzo cha kukatika kwa huduma hiyo jijini hapa ni kutokana na kuibwa kwa nyaya katika Kituo cha Ubungo na kusababisha kuungua kwa mitambo ya kusambaza nishati hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Aug
Wezi waiba nyaya Zawa, uzalishaji maji wasimama
WATU wasiojulikana wameiba nyaya zenye madini ya shaba katika visima vya kusambaza maji vya Mamlaka ya Majisafi na salama Zanzibar ((Zawa).
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Nyaya za Sh230 mil zaibwa Tanesco
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL KWA PRODYUZA MONA GANGSTAR NA KALA JEREMIAH , TANESCO NA NYAYA ZILIZOSHUKA
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Hatari: Tanesco waamua kuchukua uamuzi wa kufunga nyaya juu ya mti baada ya nguzo kuvunjika
Nguzo hii ina zaidi ya Mwezi mmoja ikiwa ndani ya nyumba ya mtu na hatari zaidi kwa sababu imelalia katika miti mibichi.
Hivi ndivyo nguzo hiyo inavyo onekana kwa Jirani ikiwa imelalia miti.
Hizi ni waya zilizopita chini kabisa katika Geti la mtu na ndani ya miti.
Nguzo ya umeme ya TANESCO ikiwa imekatika katika eneo la Jirani na Daraja la Mlalakuwa ambapo ipo mpaka sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi ipo eneo hilo.
Hii ndio Njia Mbadala waliyo iona TANESCO kutumia kwa kufunga nyaya hizo...
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Wezi wa umeme waitia hasara Tanesco Sh200 milioni
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Wadukuzi wailiza Marekani