Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyaya za Sh230 mil zaibwa Tanesco

Watu wasiojulikana wameiba nyaya za umeme katika kituo cha kupokea na kupooza umeme cha Kipawa na kusababisha hasara ya zaidi ya Sh230 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wezi ‘wailiza nyaya’ Tanesco

 Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema chanzo cha kukatika kwa huduma hiyo jijini hapa ni kutokana na kuibwa kwa nyaya katika Kituo cha Ubungo na kusababisha kuungua kwa mitambo ya kusambaza nishati hiyo.

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL KWA PRODYUZA MONA GANGSTAR NA KALA JEREMIAH , TANESCO NA NYAYA ZILIZOSHUKA

Mtayarishaji  wa muziki wa kizazi kipya ambaye ni mmiliki wa Studio Classic Sound, Monami Rangi “Mona Gangstar” akiwa katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo mpya wa mkali wa Hip Pop nchini, Kala Jeremiah, ambao haujabatizwa jina.
Mona Gangstar, aki-‘mix’  wimbo wa Kala Jeremiah katika Studio za Classic Sound, zilizopo maeneo ya Kinondoni -Manyanya.…
...

 

11 years ago

Dewji Blog

Hatari: Tanesco waamua kuchukua uamuzi wa kufunga nyaya juu ya mti baada ya nguzo kuvunjika

unnamed

Nguzo hii ina zaidi ya Mwezi mmoja ikiwa ndani ya nyumba ya mtu na hatari zaidi kwa sababu imelalia katika miti mibichi.

unnamed (1)

Hivi ndivyo nguzo hiyo inavyo onekana kwa Jirani ikiwa imelalia miti.

unnamed (2)

Hizi  ni waya zilizopita chini kabisa katika Geti la mtu na ndani ya miti.

unnamed (3)

Nguzo ya umeme ya TANESCO ikiwa imekatika katika eneo la Jirani na Daraja la Mlalakuwa ambapo ipo mpaka sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi ipo eneo hilo.

unnamed (4)

unnamed (5)

Hii ndio Njia Mbadala waliyo iona TANESCO kutumia kwa kufunga nyaya hizo...

 

10 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA





Mhandisi  Emmanuel Manirabona akiwaeleza  wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini katika kituo cha kusafirishia na kupelekea umeme kilichopo kipawa jijini Dar es Salaam wakatialipowatembeza wandishi wa  habari kuangalia wizi uliotokea wa nyaya leo

Afisa mwandamizi makao makuu ya Tanesco Leni Kiobya  akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini




Akiwaonyeshea wandishiwa habari moja ya nyaya  ambazo zilizokatwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanesco yapata hasara mil. 10.6/-

OFISI ya Shirika la Umeme (Tanesco) Mkoa wa Kinondoni Kusini, imepata hasara ya sh milioni 10.6 baada ya transfoma yake iliyopo maeneo ya Ubungo Maziwa kugongwa na gari na kuharibiwa...

 

9 years ago

Habarileo

Tanesco yakamata 235 kwa hasara ya mil 200/

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Arusha limekamata watu 235 wanaodaiwa kuwa ni wezi waliokuwa wakihujumu baadhi ya miundombinu ya shirika hilo na kulisababishia hasara ya zaidi ya Sh milioni 200.

 

10 years ago

StarTV

Wakazi kijiji cha Baga watapeliwa sh. mil. 2.5 na ‘Vishoka’ wa Tanesco.

Na Mbonea Herman,

Tanga.

 

Mtu mmoja aliyejiita kuwa mfanyakazi wa Shirika la Umeme nchini TANESCO amewatapeli wakazi wa kijiji cha Baga shilingi milioni 2.5 fedha alizokuwa akichangisha kwa ajili ya kuwaunganishia huduma ya umeme kijijini hapo.

 

Kutokana na hali hiyo TANESCO Mkoa wa Tanga limewatahadharisha wananchi kuwa makini na watu wanaojiita kuwa ni vishoka wa shirika hilo ambao dhamira yao kuu ni kuwatapeli wananchi.

 

Ilikuwa ni kazi kuzingoa nguzo zilizokuwa zimejengwa na watu...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzanite za bil 10/- zaibwa

WATU wanaosadikiwa ni majambazi wamepora madini ya tanzanite ya Kampuni ya TanzaniteOne ya Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara yenye uzito wa kilo 40 na thamani ya zaidi ya Sh bilioni 10.

 

10 years ago

Vijimambo

Nyaraka za Escrow zaibwa bungeni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime
Ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ya uchotwaji wa Sh. bilioni 306 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zimeibwa na kuzua mambo.

Kufuatia tukio hilo, Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limewatia mbaroni vijana wawili wanaotuhumiwa kusambaza mitaani ripoti ‘feki’ ya ukaguzi wa hesabu za fedha hizo uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani