Atupwa jela kwa kutosaini cheti cha ndoa
Karani wa mahakama afungwa jela kwa kukataa kutekeleza agizo la mahakama la kutoa cheti cha ndoa cha wapenzi jinsia moja Kentucky
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo04 Sep
ATUPWA JELA KWA KUTOSAINI CHETI CHA NDOA CHA JINSIA MOJA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/09/03/150903182206_kim_davis_estados_unidos_matimonio_gay_640x360_getty_nocredit.jpg)
Jaji mmoja nchini Marekani, ameagiza afisa mmoja wa serikali katika jimbo la Kentucky, kufungwa jela, baada ya kukataa kutekeleza agizo la mahakama la kutoa cheti rasmi cha ndoa, kwa wapenzi wawili wa jinsia moja.
Kim Davies amesema imani yake kama Mkristo, haimruhusu kusaini cheti kama hicho. Ndoa ya jinsia moja ilihalalishwa nchini Marekani Juni mwaka huu.
Umauzi huo wa Davis, wa kutosaini cheti hicho...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Aliyeghushi cheti cha uuguzi jela miaka 28
MUUGUZI Lucia Ilomo (44) amehukumiwa kifungo cha miaka 28 jela katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kupatikana na hatia ya kughushi vyeti vya Uuguzi na Ukunga.
10 years ago
Habarileo03 Jan
Atupwa jela miaka 30 kwa ujambazi
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Isaralo, Majire Peter (27), kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
11 years ago
Habarileo12 Apr
Atupwa miaka 30 jela kwa unyang’anyi
MWANAUME mmoja amehukumiwa na mahakama ya wilaya ya Musoma mkoani Mara, kifungo cha miaka 30 jela na kuchapwa viboko 10, baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Atupwa jela kwa kuiba nyaya za TTCL
MKAZI wa Kinondoni jijini Dar es Salaam Shaibu Ndina, amehukumiwa kwenda jela miaka minne kutokana na wizi wa nyaya za kampuni ya Simu Tanzania (TTCL). Hukumu hiyo ilitolewa juzi na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNNm30dyCbC*K-Ew4QOz9PR5wRuRQgqL7D-mNONLdLyZQZnkonMV9oUUKHzbBEXwsnbZXsByvu20i0xyZfHqsQyK/Aunt.jpg)
AUNT: BILA CHETI CHA NDOA, SIMUACHI MOSE IYOBO
10 years ago
CloudsFM14 Aug
ASKOFU ATUPWA JELA MIAKA 32 KWA UJAMBAZI BENKI
Askofu wa Kanisa la Christian Fellowship Assemblies of God la Arusha, Jumanne Kilongola amehukumiwa kifungo cha miaka 32 jela baada ya kupatikana na hatia ya kupora Sh5.3 bilioni ndani ya Benki ya NBC, Tawi la Moshi Mei 21, 2004.
Katika hukumu hiyo iliyotolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kilimanjaro, Simon Kobelo, askofu huyo amehukumiwa kifungo hicho pamoja na raia watano wa Kenya baada ya kupatikana na hatia ya kufanya wizi huo kwa mtutu wa bunduki.
Kati ya...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Atupwa jela miaka 30 kwa kumsaidia mtoto kubaka
MAMA aliyemsaidia mwanawe kubaka , Regina Kigelulye, ametupwa jela miaka 30 sawa na mtoto wake ambaye alikuwa anakabiliwa na kosa la kubaka, Sagimembe Mroso.
10 years ago
Habarileo05 Jul
Mwenyekiti atupwa jela kwa kulinda mkulima wa bangi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imemhukumu Mwenyekiti wa Kijiji cha Mbende, Alei Charles (Chadema) kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukiri kumlinda mshtakiwa Wenceslaus Namwanda “Pepea” anayemiliki shamba la bangi.