Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete: Ni wakati wa kukuza uchumi

>Rais Jakaya Kikwete juzi alifungua rasmi Barabara ya Mkata-Handeni-Korogwe iliyojengwa kwa kiwango cha lami ikiwa na urefu wa kilomita 119.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Tanzania, Ujerumani kukuza uchumi

Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck (kushoto) na mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete wakiwasalimia watoto na wananchi baada ya kuwasili Ikulu, Dar es Salaam jana kwa ziara ya siku tano. (Na Mpigapicha Wetu).RAIS Jakaya Kikwete na mgeni wake, Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck wamekubaliana katika kukuza ushirikiano wa kiuchumi, huku Rais Kikwete akiitaka Serikali ya Ujerumani kuenedelea kuisaidia Tanzania katika kukuza uchumi kwa kutoa misaada ya maendeleo na kuwekeza zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 2 ya Mgimwa, kukuza uchumi

Moja kati ya sikukuu mbaya zilizowahi kutokea kwa Rais Jakaya Kiwete, Serikali na taifa kwa ujumla ni wakati wa kusherehekea mwaka mpya wa 2014, hii ni kutokana na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Fedha na Uchumi Dk William Mgimwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utalii kukuza uchumi nchi za Afrika

KATIKA  kukuza  soko la utalii hivi karibuni  Afrika Kusini ilifungua ofisi mjini Lagos nchini Nigeria. Ufunguzi wa ofisi hiyo ni ishara ya mwingiliano wa utalii baina ya nchi za Kiafrika ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukanda wa Kati wapania kukuza uchumi

Nchi za Afrika Mashariki na Kati zimetakiwa kuondokana na vitendo vinavyochelewesha ustawi wa mataifa hayo kiuchumi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke ni nguzo katika kukuza uchumi wa familia

KWA kiasi kikubwa jamii inashindwa kutambua kuwa kumuelimisha mwanamke ni njia moja wapo ya kuiokoa jamii katika wimbi la umaskini. Hakuna asiyefahamu mwanamke katika familia ndiye nguzo kuu katika uzalishaji,...

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge agawa mbegu za tangawizi kukuza uchumi

MBUNGE wa Madaba, Songea Vijijini, Joseph Mhagama amesema njia rahisi ya kuwainua wananchi ni kutafuta mazao ambayo wakiuza yanaweza kutatua matatizo yao kwa haraka.

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania, Iran zasaini mikataba kukuza uchumi

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.WIZARA ya Mambo ya Nje Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran wamesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara Handeni — Mkata mhimili wa kukuza uchumi

BARABARA ni njia inayounganisha maeneo mawili au zaidi. Katika nchi yoyote barabara imekuwa ndiyo njia kuu ya uchumi, kwa kuwa husafirisha wafanyabiashara pamoja na mizigo. Ndiyo maana  nchi yoyote yenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bidhaa za ndani zinaweza kukuza uchumi wa nchi

KUKUZA fursa za mitaji ni miongoni mwa dhana zilizojengeka midomoni mwa walio wengi huku wakiita ni dhana ya kijasiriamali. Kila mmoja aliyeweza kukuza mitaji kwa njia yoyote ile, hujiita mjasiriamali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani