Uingereza kuendeleza misaada Tanzania
Uingereza imeahidi kuendelea kuisaidia Tanzania katika kupambana na umaskini, ufisadi na kuimarisha utawala bora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9QFStw-ynZQ/ViuC84Mwq_I/AAAAAAAICiA/ITG5ORHyiZ8/s72-c/DSC_6857.jpg)
MKURUGENZI WA SHIRIKA LA MISAADA LA UINGEREZA AKUTANA NA RAIS.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9QFStw-ynZQ/ViuC84Mwq_I/AAAAAAAICiA/ITG5ORHyiZ8/s640/DSC_6857.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zM7qrTNnaX0/ViuC83QaPOI/AAAAAAAICh8/6wscIexRvw4/s640/DSC_6863.jpg)
11 years ago
Michuzimsamaria mwema wa uingereza atuma misaada kwa mzazi wa mapacha wanne wa mbeya
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4lkzlAq9Z6E/UxrTbgBV83I/AAAAAAAFR5k/XS2fO-BuJC0/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mwenyekiti wa CCM shina la Essex Uingereza Bibi Maryam Seif agawa misaada kwa yatima kurasini
![](http://1.bp.blogspot.com/-4lkzlAq9Z6E/UxrTbgBV83I/AAAAAAAFR5k/XS2fO-BuJC0/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-88-CWoVkc40/UxrTbsz7DVI/AAAAAAAFR54/GdJISt3sBho/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qo5qFFL7Edg/UxrTb9NzD4I/AAAAAAAFR5o/7GD2AzLUy2Q/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1UwIa9b-pbw/UxrTcdkdpeI/AAAAAAAFR5w/BEL-FZlrVM0/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tr0fOqaC6Bg/U4wmcEH348I/AAAAAAAFnD0/di75jfbXFfo/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Tanzania,Uturuki Kuendeleza Ushirikiano
![](http://1.bp.blogspot.com/-tr0fOqaC6Bg/U4wmcEH348I/AAAAAAAFnD0/di75jfbXFfo/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BkZQXNsDQDk/VE-FtaHksfI/AAAAAAACt1I/yOo040pAzsw/s72-c/1a.jpg)
Tanzania yaeleza mipango yake ya kuendeleza Jotoardhi
![](http://2.bp.blogspot.com/-BkZQXNsDQDk/VE-FtaHksfI/AAAAAAACt1I/yOo040pAzsw/s1600/1a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FQzJzj6H_uw/VE-Fv4Ez4ZI/AAAAAAACt1Q/FKSVzW8y5ow/s1600/2a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2pTvjZpeY4Q/VE-FsCcHXUI/AAAAAAACt1A/0xY190uhsi0/s1600/3a.jpg)
9 years ago
StarTV25 Sep
Tanzania na Marekani zakubaliana kuendeleza ushirikiano wake
Rais wa Tanzania DK Jakaya Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika, bali utaendelea kuboreshwa zaidi hata baada ya Serikali mpya kuingia madarakani.
Aidha ameiomba Marekani kuiunga mkono Serikali ijayo pamoja na maendeleo ya Tanzania na watu wake, kama ilivyofanya katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, kwa kuchangia uchumi wa nchi kupanda kutoka dola bilioni 14.4 hadi kufikia dola bilioni 50.
Rais Kikwete ameyasema hayo...
10 years ago
Habarileo26 Oct
Tanzania na China kuendeleza mawazo ya Nyerere, Mao
TANZANIA na China zimeahidi kuendeleza mahusiano baina yao na kuenzi mawazo ya waasisi wa nchi hizo Mwalimu Julius Nyerere na Mwenyekiti Mao Tse Tung.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Nafasi ya teknolojia ya kidijitali katika kuendeleza uchumi wa Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Kwa mujibu wa GSMA (Shirika la Kimataifa la Makampuni ya Simu), mpaka mwisho wa mwaka 2018, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi katika eneo hili ilikuwa imeongezeka kwa milioni 20, ukilinganisha na mwaka uliotangulia (2017). Makadirio yanaonesha kwamba idadi hiyo itaongezeka kwa watumiaji wapya milioni 167 kufikia mwaka 2025.
Hapa Tanzania,...