TANZANIA YAJIVUNIA USHIRIKIANO WAKE NA UNICEF
![](http://2.bp.blogspot.com/-Kbk7iVTeoNY/U4665XQ7_sI/AAAAAAAFndU/eNy_LuFHlZ4/s72-c/unnamed+(85).jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York Ushirikiano wa kimaendeleo baina ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mfuko wa Umoja wa Mataifa unaohudumiwa Watoto ( UNICEF) umefanikisha utekelezaji wa miradi mbalimbali inayolenga katika utoaji huduma endelevu kwa watoto . Kauli hiyo imetolewa siku ya jumanne na Bibi. Anna Maembe, Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto , anayeiwakilisha Tanzania katika mkutano wa Mwaka wa Bodi tendaji ya UNICEF unaofanyika hapa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tskktoxdiA4/VCn95P0D8II/AAAAAAAGmko/tdOc78UTrmc/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MARIE STOPES TANZANIA YAJIVUNIA USHIRIKIANO WAKE NA SERIKALI
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
CHADEMA yajivunia ushirikiano na wananchi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kufurahishwa na ushirikiano uliopo baina ya chama hicho na wananchi, na kusema hatua hiyo itafanikisha kuiangusha CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
9 years ago
StarTV25 Sep
Tanzania na Marekani zakubaliana kuendeleza ushirikiano wake
Rais wa Tanzania DK Jakaya Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika, bali utaendelea kuboreshwa zaidi hata baada ya Serikali mpya kuingia madarakani.
Aidha ameiomba Marekani kuiunga mkono Serikali ijayo pamoja na maendeleo ya Tanzania na watu wake, kama ilivyofanya katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, kwa kuchangia uchumi wa nchi kupanda kutoka dola bilioni 14.4 hadi kufikia dola bilioni 50.
Rais Kikwete ameyasema hayo...
9 years ago
Dewji Blog15 Aug
Bodi ya Mikopo yajivunia miaka 10 ya ufanisi wake
Bw. Cosmas Mwaisobwa (katikati), Mkurugenzi Msaidizi (Habari, Elimu na Mawasiliano) wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) akiongea na wanahabari jijini Dar es Salaam (Ijumaa, Agosti 14, 2015). Wengine ni Bw. Omega Ngole, Meneja kutoka HESLB na Bi. Fatma Salum (kulia), Afisa Habari kutoka Idara ya Habari (MAELEZO). (Picha na HESLB).
Na Mwandishi Wetu
Idadi ya wanafunzi wanaopata mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeongezeka kutoka 42,729...
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MARIE STOPES YAJIVUNIA UHUSIWANO WAKE NA SERIKALI
10 years ago
Mtanzania16 Mar
Tanzania yajivunia miaka 20 ya‘Beijing’
Na Mwandishi Maalum, New York
USHIRIKI wa askari wanawake katika operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa (UN) ni baadhi ya mafanikio ambayo Tanzania inajivunia miaka 20 baada ya mkutano wa historia wa wanawake uliofanyika Beijing, China mwaka 1995.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba aliyasema hayo juzi alipotoa tathmini na changamoto za utekelezaji wa maazimio muhimu yaliyofikiwa katika mkutano huo wa wanawake.
Waziri Simba ameongoza ujumbe wa Tanzania...
10 years ago
AllAfrica.Com22 May
In Tanzania, Unicef Dispatching Working to Halt Cholera Outbreak Among ...
AllAfrica.com
The United Nations Children's Fund (UNICEF) is rushing critical relief supplies to Tanzania's north-western border with Burundi amid a devastating cholera outbreak affecting tens of thousands of refugees there. In a press release issued earlier today, UNICEF ...
11 years ago
Mwananchi12 Jul
Tanzania yajivunia utekelezaji malengo ya milenia
11 years ago
Dewji Blog16 Jun
UNICEF Tanzania Appoints AY and Faraja K. Nyalandu as Ambassadors to Champion Violence against Children
Hai District Launches One Stop Center to Address Violence against Women and Children
UNICEF Tanzania Appoints AY and Faraja K. Nyalandu as Ambassadors to Champion Violence against Children
To mark the Day of the African Child on 16 June, Hai District, along with government officials, UNICEF and Save the Children, launched a One Stop Center at the Hai District Hospital, which will help to provide support to women and children who have been affected by violence.
“With the One Stop Centre...