Uhamiaji:UK na Ufaransa zakubaliana
Uingereza na Ufaransa zimetia saini ya makubaliano ya ushirikiano dhidi ya kukabiliana na walanguzi wa wahamiaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMaelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
11 years ago
Michuzi29 Jul
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Pande hasimu zakubaliana Libya
Mjumbe wa umoja wa mataifa nchini Libya anasema kuwa wawakilishi wa serikali mbili zinazozana nchini humo wameafikia makubaliano ya kisiasa.
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
EU, Uturuki zakubaliana suala wakimbizi
Umoja wa ulaya na uturuki wafikia makubaliano ya jinsi ya kuchukua hatua ili kuondokana na mafuriko ya wakimbizi na wahamiaji ndani ya bara la Ulaya.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6P0ZzBvwZeY/XlGOHx5P-aI/AAAAAAALe3s/ZnJPxAUSOMkBPU59GgnQJwsiDwbV_9wrwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv61bdcb960ad1lshc_800C450.jpg)
Rwanda na Uganda zakubaliana kukabidhiana wahalifu
![](https://1.bp.blogspot.com/-6P0ZzBvwZeY/XlGOHx5P-aI/AAAAAAALe3s/ZnJPxAUSOMkBPU59GgnQJwsiDwbV_9wrwCLcBGAsYHQ/s640/4bv61bdcb960ad1lshc_800C450.jpg)
Makubaliano hayo yametiwa saini katika mkutano uliofanyika katika mpaka ukisimamiwa na Marais Paul Kagame na Yoweri Museveni.
Mkutano huo uliunga mkono kuachiliwa kwa makumi ya raia waliokuwa wakizuiliwa kutoka pande zote mbili katika kipindi cha wiki chache zilizopita.
Rwanda inaishutumu Uganda kwa kuwahifadhi waasi wanaokabiliana na serikali ya taifa hilo huku...
11 years ago
MichuziEPZA, COSTECH ZAKUBALIANA KUENDELEZA TEHAMA
11 years ago
MichuziTanzania na Misri zakubaliana kuimarisha ushirikiano
11 years ago
MichuziTANZANIA NA SWEDEN ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania