Rwanda na Uganda zakubaliana kukabidhiana wahalifu
![](https://1.bp.blogspot.com/-6P0ZzBvwZeY/XlGOHx5P-aI/AAAAAAALe3s/ZnJPxAUSOMkBPU59GgnQJwsiDwbV_9wrwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv61bdcb960ad1lshc_800C450.jpg)
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Rwanda na Uganda wametia saini makubaliano ya kukabidhiana wahalifu wanaosakwa na nchi hizo.
Makubaliano hayo yametiwa saini katika mkutano uliofanyika katika mpaka ukisimamiwa na Marais Paul Kagame na Yoweri Museveni.
Mkutano huo uliunga mkono kuachiliwa kwa makumi ya raia waliokuwa wakizuiliwa kutoka pande zote mbili katika kipindi cha wiki chache zilizopita.
Rwanda inaishutumu Uganda kwa kuwahifadhi waasi wanaokabiliana na serikali ya taifa hilo huku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Uganda, Kenya, Rwanda nazo zawasilisha bajeti
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IxT7ndZ8IhY/Xk9w1KGiVUI/AAAAAAALepc/8Z181bG64z4QvSGasHvkYfwQnI_wHRq7QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsk8011feea8c1hd3l_800C450.jpg)
Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda
![](https://1.bp.blogspot.com/-IxT7ndZ8IhY/Xk9w1KGiVUI/AAAAAAALepc/8Z181bG64z4QvSGasHvkYfwQnI_wHRq7QCLcBGAsYHQ/s640/4bsk8011feea8c1hd3l_800C450.jpg)
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuachiliwa huru raia 13 wa Rwanda waliokuwa wanashikiliwa nchini Uganda.
Taarifa hiyo imesema kupitia ubalozi wake mjini Kampala, serikali ya Rwanda imekaribisha kuachiwa huru kwa raia wake 13 na kurejeshwa Rwanda watuhumiwa wawili wa ugaidi waliohusika na shambulizi la Kinigi lililotokea Oktoba mwaka 2019.
Mapema mwezi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qfu1mx5_l0w/UxmqCz-Ks4I/AAAAAAAFRuU/KNmAZy0v0pM/s72-c/flag.jpg)
Kenya, Rwanda and Uganda Joint Visa Launching at ITB
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qfu1mx5_l0w/UxmqCz-Ks4I/AAAAAAAFRuU/KNmAZy0v0pM/s1600/flag.jpg)
The tourist cross-border visa between Kenya, Rwanda and Uganda costs USD...
5 years ago
Kawowo Sports19 Feb
CHAN 2020: Uganda drawn against rivals Rwanda in Group C
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Kenya, Uganda, Rwanda wakamilisha vitambulisho vya uraia
WANANCHI wa mataifa ya Rwanda, Uganda na Kenya wamepokea kwa shangwe kuanza kwa mpango wa kutumika kwa vitambulisho vya uraia kama cheti cha kuwaruhusu kuvuka mipaka na kuingia miongoni mwa...
5 years ago
Goal.Com25 Feb
Chan 2020: Uganda to start against Rwanda as Tanzania to face Zambia
5 years ago
Daily Monitor24 Feb
Katuna meeting: 10th attempt to solve Uganda - Rwanda stand-off
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Makubaliano kati ya Kagame na Museveni: Serikali ya Uganda yawaachilia raia 13 wa Rwanda