Pande hasimu zakubaliana Libya
Mjumbe wa umoja wa mataifa nchini Libya anasema kuwa wawakilishi wa serikali mbili zinazozana nchini humo wameafikia makubaliano ya kisiasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Tsvangirai amtimua hasimu wake
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Uhamiaji:UK na Ufaransa zakubaliana
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
EU, Uturuki zakubaliana suala wakimbizi
11 years ago
MichuziTANZANIA NA SWEDEN ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO
11 years ago
Habarileo31 Jan
TSN, taasisi za habari zakubaliana kushirikiana
TAASISI zilizo chini ya habari, vijana, utamaduni na michezo zimeingia makubaliano ya kushirikiana katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo. Makubaliano ya taasisi hizo, ikiwemo Kampuni ya uchapishaji wa magazeti ya Serikali ya Tanzania Standard (Newspapers) Limited (TSN) yalifikiwa jana katika mkutano uliokutanisha wizara na taasisi hizo.
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Sterling:Liverpool na Man City zakubaliana
11 years ago
MichuziTanzania na Misri zakubaliana kuimarisha ushirikiano
11 years ago
MichuziEPZA, COSTECH ZAKUBALIANA KUENDELEZA TEHAMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6P0ZzBvwZeY/XlGOHx5P-aI/AAAAAAALe3s/ZnJPxAUSOMkBPU59GgnQJwsiDwbV_9wrwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv61bdcb960ad1lshc_800C450.jpg)
Rwanda na Uganda zakubaliana kukabidhiana wahalifu
![](https://1.bp.blogspot.com/-6P0ZzBvwZeY/XlGOHx5P-aI/AAAAAAALe3s/ZnJPxAUSOMkBPU59GgnQJwsiDwbV_9wrwCLcBGAsYHQ/s640/4bv61bdcb960ad1lshc_800C450.jpg)
Makubaliano hayo yametiwa saini katika mkutano uliofanyika katika mpaka ukisimamiwa na Marais Paul Kagame na Yoweri Museveni.
Mkutano huo uliunga mkono kuachiliwa kwa makumi ya raia waliokuwa wakizuiliwa kutoka pande zote mbili katika kipindi cha wiki chache zilizopita.
Rwanda inaishutumu Uganda kwa kuwahifadhi waasi wanaokabiliana na serikali ya taifa hilo huku...