Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZIFF 2014 ilivyokuwa; Terry Pheto: Natamani kufanya kazi na wa bongo

>Mgeni maalumu mwalikwa ambaye ni mwigizaji wa filamu ya Mandela “Long Walk to Freedom” Terry Pheto kutoka Afrika Kusini, anasema licha ya kutamani kufanya kazi na wasanii wa Tanzania, maendeleo ya msanii hufanywa na mhusika kulingana na ndoto alizonazo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

ZIFF: We’re not telling enough stories - Pheto

ZIFF is turning out to be a common meeting place for filmmakers and enthusiasts from around Stone Town at a season that has been christened a ‘Common Destiny’.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho: Natamani kufanya makubwa 2014

BONDIA Francis Miyeyusho wa Tanzania, alitangaza nia yake ya kuzichapa na Mkenya David Charanga. Ni katika pambano ambalo lilikuwa chini ya uratibu wake kwa lengo la kutimiza programu alizojiwekea kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ziff- Weekend Of Film & Music To Close Ziff 2014

offical-selection-2014

To close out the 17th edition of the Zanzibar International Film Festival, some of Africa’s musical legends will be performing whilst top filmmakers from around the world are awarded for their work.

On Saturday June 21st, ZIFF and our partners will award filmmakers for a range of achievements – these awards include:

The SIGNIS Awards

ZUKU Swahili Awards

ZIFF Awards

East African Talent

Sembene Ousmane Awards

The ZIFF jury awards Golden Dhows for films in the following categories:

-      ...

 

11 years ago

Michuzi

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO YA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WA MWAKA 2014

 Baadhi ya Wadadisi na Wahariri wa Madodoso ya Utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi wa mwaka 2014 , katika ngazi ya Kanda ya Pwani na Kusini yenye Mikoa ya Mtwara , Lindi, Dar es Salaam , Pwani na Morogoro ambao walishiriki mafunzo ya wiki  tatu, mjini hapa , wakimsikiliza mgeni rasmi ( hayupo pichani) wakati wa kufunga mafunzo hayo  Baadhi ya Wadadisi na Wahariri wa Madodoso ya Utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi wa mwaka 2014 , katika ngazi ya Kanda ya Pwani na Kusini...

 

9 years ago

Michuzi

MSHINDI WA BONGO STAR SEARCH NA JINSI FAINALI HIYO ILIVYOKUWA

1Mshindi wa Shindano la Bongo Star Search 2015 (BSS), Kayumba Juma (katika), akiwa ameshikilia fedha zake muda mfupi baada ya kuibuka kidedea kwenye fainali hizo zilizokuwa zikifanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa King Solomoni uliopo Namanga jijini Dar es Salaa.24Baadhi ya mashabiki waliohudhuria ukumbini hapo wakifuatilia burudani hizo kwa makini.
Kayumba Juma wa jijini Dar es Salaam juzi usiku aliibuka mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya muziki la Bongo Star Search (BSS) kwa...

 

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA SENSA ATOA SOMO KWA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI 2014 KUZINGATIA MAADILI NA WELEDI

Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi Bi. Hajjat Amina Mrisho Said akizungumza na Wadadisi na Wahariri wa madodoso ya Utafiti wa watu wenye Uwezo wa Kufanya Kazi kutoka mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Morogoro, Lindi na Mtwara walio katika mafunzo ya siku 16 leo mjini Morogoro. Kulia Bw. Mhidini Mtindo, Mtakwimu Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu. Wadadisi na Wahariri wa madodoso ya watu wenye uwezo wa kufanya Kazi kutoka mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Morogoro, Lindi na Mtwara wakiwa kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani