Young Dee ajipanga kwenda Nigeria kufanya ngoma na Patoranking
Rapper Young Dee amesema yupo kwenye mpango wa kusafiri kuelekea nchini Nigeria kwa ajili ya project yake na Patoranking.
Young Dee amesema bado kuna mambo anayaweka sawa na yakikamilika atasafiri.
“Bado kusafiri tu, sema sasa hivi kuna mambo nayaweka sawa pia kuna project nyingine zinakuja lakini kikubwa zaidi kuna mambo makubwa yanakuja,” Young Dee ameiambia Bongo5.
Wazo la kufanya kazi na Patoranking lilikuja baada ya watu wengi kudai kuwa Young Dee anafanana na msanii huyo.
Jiunge na...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
11 years ago
GPL
DIAMOND AMEONDOKA KWENDA NIGERIA KUFANYA VIDEO MPYA
10 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Kayala ajipanga kufanya makubwa
MUIMBAJI wa nyimbo za injili anayetamba na wimbo ‘Siwema’, George Kayala, ameahidi kuweka rekodi katika uzinduzi wa albamu yake ya ‘Siwema’ utakaofanyika katika Kanisa la WRM, Matembele ya Pili Kivule...
11 years ago
GPL20 Jul
10 years ago
Africanjam.Com
11 years ago
GPL
FUMANIZI LA LULU, YOUNG DEE UTATA
11 years ago
GPL19 Sep
10 years ago
Bongo512 Oct
Ruby ajipanga kufanya kolabo na Christian Bella