DIAMOND AMEONDOKA KWENDA NIGERIA KUFANYA VIDEO MPYA
![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZa6Q0OqMu3uTr4rf3tj0-Hrz55fs-2QeQW9oo79vbLokyrFFB8JajqjcRgM0QP2GABxtOEEbvDn4nU5ljLtCoyH/diamondlagostrip1.jpg)
Diamond akiwa na Bab Tale tayari kwa safari yao. Wema Sepetu hakukosa kumsindikiza kipenzi chake uwanja wa ndege. Wiki iliyopita Diamond Platnumz alisema anatarajia kusafiri kwenda…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Diamond kufanya video Nigeria
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ ameondoka nchini juzi usiku kwenda Nigeria kwa ajili ya kufanya video ya ngoma yake mpya ambayo hakutaka kuitaja jina. Katika...
9 years ago
Bongo518 Nov
Video: Diamond atease wimbo mpya wa Tekno wa Nigeria, je ni collabo?
![tekno-miles-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tekno-miles-1-300x194.jpg)
Mkali wa ‘Duro’ Tekno Miles kutoka Nigeria anatarajia kuachia wimbo mpya wiki ijayo, baada ya kufanya vizuri na single ya ‘Duro’ ambayo imeshika chati mbalimbali za Afrika.
Mshindi wa tuzo 3 za Afrima 2015, Diamond ambaye yuko Nigeria alikoenda kwenye tuzo hizo, amewaonjesha mashabiki kupitia akaunti yake ya Instagram kionjo cha wimbo huo. Platnumz amepost video aliyojirekodi akiwa na Tekno kwenye gari yake wakisikiliza wimbo huo huku Tekno akiimba.
“Forget About DURO… we are about to...
9 years ago
Bongo512 Nov
Young Dee ajipanga kwenda Nigeria kufanya ngoma na Patoranking
![11410733_445859338931643_183989700_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11410733_445859338931643_183989700_n-300x194.jpg)
Rapper Young Dee amesema yupo kwenye mpango wa kusafiri kuelekea nchini Nigeria kwa ajili ya project yake na Patoranking.
Young Dee amesema bado kuna mambo anayaweka sawa na yakikamilika atasafiri.
“Bado kusafiri tu, sema sasa hivi kuna mambo nayaweka sawa pia kuna project nyingine zinakuja lakini kikubwa zaidi kuna mambo makubwa yanakuja,” Young Dee ameiambia Bongo5.
Wazo la kufanya kazi na Patoranking lilikuja baada ya watu wengi kudai kuwa Young Dee anafanana na msanii huyo.
Jiunge na...
9 years ago
Bongo530 Oct
Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje
![_K0A1374](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/K0A1374-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo517 Dec
Kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu – Fid Q
![Fidq](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Fidq-300x194.jpg)
Fid Q anaiunga mkono kasi ya wasanii wa Bongo kwenda kushoot video zao nje ya nchi, na kuongeza kuwa inasaidia kufanya watu wafatilie kwa ukaribu ujio wa kazi hiyo.
“Nadhani kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu, unajua wabongo ukisema unaenda kufanya video nje ya nchi tayari wanakuwa wanaisubiria kwahiyo sidhani kama ni kosa, ni kitu kizuri kwasababu kinasaidia mtu kunotice kama kuna kitu ulifanya.” Alisema Fid Q kupitia 255 ya XXL.
“Nimeona wasanii wametoa video hivi karibuni...
10 years ago
Bongo504 Nov
Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pCnj1SuHrlrG9ZySt2hJla*hucoCtmdQx6mmAvbMdXYBCu*58iePdNYsBmrgflOizksOkfFxCV6hEr7uiaHJSklMVeH4Vc2M/diamond1.jpg?width=650)
DIAMOND PLATNUMZ KUFANYA MAKAMUZI KATIKA UTOAJI TUZO ZA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NCHINI NIGERIA LEO