Mwaitege jukwaa moja na Kayala Agosti 9
MKALI wa muziki wa injili nchini, Bony Mwaitege, anatarajia kupanda jukwaa moja na mwimbaji mwenzake, George Kayala anayetarajia kuzindua albamu yake ya ‘Siwema’ iliyopo katika mfumo wa CD Agosti 9,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Kayala aomba sapoti Agosti 9
MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, George Kayala amewaalika wadau wote wa muziki wa injili jijini Dar es Salaam kufika katika uzinduzi wa albam yake ya kwanza iItwayo ‘Siwema’ utakaofanyika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s72-c/68408-2.jpg)
BONNY MWAITEGE KUZINDUA ALBAMU TATU KWA MPIGO AGOSTI 2 JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s640/68408-2.jpg)
Kwa mujibu wa Msama ambaye ni mdhamini wa uzinduzi huo, Maaskofu watafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa karibu zaidi baada ya waimbaji kumaliza kazi yao jukwaani.
Msama alisema uzinduzi huo unatarajia kusindikizwa na waimbaji mbalimbali wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hQZgHWpN4Ng/VdLitw2nqCI/AAAAAAAAJNs/hg_q_RCBu3Q/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha Jukwaa Langu Agosti 17 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-hQZgHWpN4Ng/VdLitw2nqCI/AAAAAAAAJNs/hg_q_RCBu3Q/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Katika kipindi hiki utasikia mjadala wetu na wageni Jeff Msangi toka Toronto Canada na Darmatus Nambai aliyehudhuria studio kuhusu DEMOKRASIA na MABADILIKO kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
KARIBU
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0PEv3ENU0iU/VdzUJlKHvYI/AAAAAAAAJQc/-KJFg3z7r4M/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU. Jumatatu Agosti 24, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-0PEv3ENU0iU/VdzUJlKHvYI/AAAAAAAAJQc/-KJFg3z7r4M/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Agosti 24, 2015
Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Agosti 24, 2015
11 years ago
MichuziTAMKO LA JUKWAA KUHUSU BUNGE MAALUM LA KATIBA LINALOANZA DODOMA AGOSTI 5, 2014
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga-m98g2ICc/VHczDAL_CtI/AAAAAAAGzw4/0mWhAYEBlMM/s72-c/unnamed.jpg)
Mashujaa jukwaa moja na Bileku Mpasi
MWANAMUZIKI mkongwe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Bileku Mpasi, atafanya onesho maalum katika utambulisho wa nyimbo mbili mpya za bendi ya Mashujaa utakaofanyika Desemba 12 mwaka huu kwenye ukumbi wa Ten Lounge zamani Business Park.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mratibu wa onesho hilo, King Dodoo la Buche, alisema kuwa Mpasi ambaye alitamba katika tasnia ya muziki wa dansi alipokuwa na gwiji, marehemu, Pepe Kale, atakuja na wasanii...
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Belle 9, Hemed, Izzo B jukwaa moja
NA OSCAR ASSENGA, TANGA WASANII wa muziki wa Bongo Fleva, Abelnago Damiani ‘Belle 9’, Hemed Phd na Izzo Business, wanatarajiwa kutoa burudani katika onyesho maalumu la siku ya wapendanao lililopewa jina la Red &White Party mkoani Tanga. Akizungumza na MTANZANIA jana, Mratibu wa onyesho hilo, Mbwana Imamu, alisema maandalizi yote yamekamilika na wasanii wataripoti mkoani humo Februari 13 mwaka huu. Mbwana alisema lengo kubwa la onyesho hilo ni kuwapa burudani
wakazi wa Tanga katika siku hiyo...
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Jokha Kassim, Msaga Sumu jukwaa moja
NA MWALI IBRAHIM
WAIMBAJI wa taarabu, Jokha Kassim na Msaga Sumu, wanatarajiwa kunogesha onyesho maalumu la kundi la taarabu la Wakali wao Modern Taradansa, litakalofanyika Ijumaa hii katika ukumbi wa JM Hotel, Manzese, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa kundi la Wakali wao, Thabit Abdul, alisema usiku huo ni maalumu kwa ajili ya kuukaribisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, unaotarajiwa kuanza Juni 19.
“Tumewaandalia mashabiki wetu zawadi ya wimbo mpya ambao tutauzindua siku hiyo...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Linah, Feza jukwaa moja na Davido Nigeria leo
NA MWANDISHI WETU
WANAMUZIKI nyota wa Bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga ‘Linah Sanga’ na Feza Kessy, leo watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria, katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival, litakalofanyika Lagos, Nigeria.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii wakali nchini humo kama vile Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide, huku wengine wakiwa Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle na...