Kayala alamba mkataba wa albamu ya pili
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili aliyetamba na kibao cha ‘Siwema’, George Kayala, ameingia mkatabawa mwaka mmoja na Studio ya Deey Records ya jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya albamu yake ya pili ambayo bado hajajua ataiitaje.
Mwimbaji huyo ambaye ni mwandishi wa habari wa Burudani wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, alisema amesharekodi wimbo mmoja kwenye studio hiyo iliyopo Mwembechai, jijini Dar es Salaam, chini ya prodyuza Ramadhan Lwambo.
“Huduma ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLQ-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO
9 years ago
Habarileo07 Oct
Kocha Mkwasa alamba mkataba
HATIMAYE Kocha Charles Mkwasa ameingia mkataba wa kudumu wa mwaka mmoja na nusu na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kukinoa kikosi cha timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars. Mkataba huo ulisainiwa jana Dar es Salaam na umeanza kufanya kazi kuanzia Oktoba 1, mwaka huu hadi Machi 31, 2017.
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Jokate alamba mkataba Sh8.5 bil
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJPao6jdB76RDR8-SgLl4hCpXTq-7NDHxM2e3KP-9H5fUJv1jgKpMMAX-8Nbgbn2ca2XaX8AXXKpjM9aF47JrRyj/1.jpg?width=650)
LINAH ALAMBA MKATABA KINYWAJI CHA ‘JEBEL’
9 years ago
Michuzi18 Dec
MDAU SABINA LEONCE KOMBA ALAMBA NONDOZZ YAKE YA PILI KATIKA UONGOZI WA MIRADI CHUO KIKUU HURIA
![san2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/san2.jpg)
![san4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/san4.jpg)
![san5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/san5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o5YoythCoXU/VnRXLm7IO7I/AAAAAAAINS8/2_lz8wSLC2Y/s72-c/3b0e10ac-8022-49f6-8f98-7f615e5fe218.jpg)
NAHODHA WA ZAMANI WA YANGA NA TIMU YA TAIFA ALAMBA NONDOZZZ YA SHAHADA YA PILI KATIKA CHUO KIKUU CHA MZUMBE KAMPASI YA DARA ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5YoythCoXU/VnRXLm7IO7I/AAAAAAAINS8/2_lz8wSLC2Y/s640/3b0e10ac-8022-49f6-8f98-7f615e5fe218.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Best Records kumfanyia makubwa Kayala
UONGOZI wa Studio ya Best Records iliyopo Salasala jijini Dar es Salaam, imesema itazirekodi kwa ubora wa hali ya juu nyimbo saba za mwimbaji wa injili nchini, George Kayala, ili...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Kayala ajipanga kufanya makubwa
MUIMBAJI wa nyimbo za injili anayetamba na wimbo ‘Siwema’, George Kayala, ameahidi kuweka rekodi katika uzinduzi wa albamu yake ya ‘Siwema’ utakaofanyika katika Kanisa la WRM, Matembele ya Pili Kivule...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Kayala aomba sapoti Agosti 9
MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, George Kayala amewaalika wadau wote wa muziki wa injili jijini Dar es Salaam kufika katika uzinduzi wa albam yake ya kwanza iItwayo ‘Siwema’ utakaofanyika...