Kocha Mkwasa alamba mkataba
HATIMAYE Kocha Charles Mkwasa ameingia mkataba wa kudumu wa mwaka mmoja na nusu na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kukinoa kikosi cha timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars. Mkataba huo ulisainiwa jana Dar es Salaam na umeanza kufanya kazi kuanzia Oktoba 1, mwaka huu hadi Machi 31, 2017.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLQ-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Jokate alamba mkataba Sh8.5 bil
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Kayala alamba mkataba wa albamu ya pili
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili aliyetamba na kibao cha ‘Siwema’, George Kayala, ameingia mkatabawa mwaka mmoja na Studio ya Deey Records ya jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya albamu yake ya pili ambayo bado hajajua ataiitaje.
Mwimbaji huyo ambaye ni mwandishi wa habari wa Burudani wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, alisema amesharekodi wimbo mmoja kwenye studio hiyo iliyopo Mwembechai, jijini Dar es Salaam, chini ya prodyuza Ramadhan Lwambo.
“Huduma ya...
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Mkwasa kuongezewa mkataba Stars
JUDITH PETER NA JENIFFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linafikiria kumpa mkataba wa kudumu kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi baada ya kusaidia kuinua kiwango cha wachezaji ambao wameonekana kufurahia uwepo wake ndani ya kikosi hicho.
Viongozi wengine wa benchi la ufundi wanaofikiriwa ni Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, kocha wa makipa Peter Manyika, Meneja Omary Kapilima na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJPao6jdB76RDR8-SgLl4hCpXTq-7NDHxM2e3KP-9H5fUJv1jgKpMMAX-8Nbgbn2ca2XaX8AXXKpjM9aF47JrRyj/1.jpg?width=650)
LINAH ALAMBA MKATABA KINYWAJI CHA ‘JEBEL’
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-g-jcRfZ0dYc/VhPNlx0p02I/AAAAAAABJZA/IFrHTuewW00/s72-c/A%2B1.png)
MKWASA APEWA MKATABA WA KUDUMU STARS
![](http://3.bp.blogspot.com/-g-jcRfZ0dYc/VhPNlx0p02I/AAAAAAABJZA/IFrHTuewW00/s640/A%2B1.png)
Charles Boniface Mkwasa amepewa mkataba wa kudumu kukinoa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu na kumalizika Machi 31, 2017.
TFF Imefikia makubaliano hayo na kocha Mkwasa baada ya kurudhika na utendaji wake katika kukinoa kikosi cha timu ya Taifa, ambapo mpaka sasa ameweza kuingoza Stars katika sare ya michezo miwili dhidi ya Uganda na Nigeria. Kufuatia kusaini mkataba huo, Mkwasa atapatiwa huduma na marupurupu...
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Kocha Mkwasa aivamia Al Ahly
9 years ago
Bongo507 Oct
Mkwasa apewa mkataba rasmi kuinoa Taifa Stars