Kocha Mkwasa aivamia Al Ahly
Mabingwa wa Tanzania, Yanga katika kuhakikisha wanavunja mwiko wa kufungwa na Waarabu, watamtuma kocha msaidizi Boniface Mkwasa kuishuhudia mechi ya Super Cup Afrika kati ya Al Ahly na CS Sfaxien.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen06 Mar
Mkwasa: We’ll attack Al Ahly
9 years ago
Habarileo07 Oct
Kocha Mkwasa alamba mkataba
HATIMAYE Kocha Charles Mkwasa ameingia mkataba wa kudumu wa mwaka mmoja na nusu na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kukinoa kikosi cha timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars. Mkataba huo ulisainiwa jana Dar es Salaam na umeanza kufanya kazi kuanzia Oktoba 1, mwaka huu hadi Machi 31, 2017.
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Kocha Al Ahly aichambua Yanga
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kocha wa Yanga aishtukia Al Ahly
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-b9ZAk_HHaPY/VYqYeIf4p-I/AAAAAAAHjWU/425CC5N9fxw/s72-c/Kocha%2BMkwasa%2B%2528kushoto%2529%2Bna%2Bmsaidizi%2Bwake%2BHemed%2BMorocco%2Bwakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari.jpg)
KOCHA MKWASA AITA 26 TIMU YA TAIFA STARS
![](http://1.bp.blogspot.com/-b9ZAk_HHaPY/VYqYeIf4p-I/AAAAAAAHjWU/425CC5N9fxw/s640/Kocha%2BMkwasa%2B%2528kushoto%2529%2Bna%2Bmsaidizi%2Bwake%2BHemed%2BMorocco%2Bwakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 104
TAREHE 24 JUNI 2015
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine leo amemtambuisha kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa mbele ya waandishi wa habari.
Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZz*MzLSC2IUEo98aSWQFaID2qx4UOFwK6GD*dvBGX-qVqQANB*pPweiK8uzc9bmAdbbRSV8MWmkjbc2cvOfUd1/yanga.jpg?width=750)
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kocha Al Ahly awahofia Kiiza, Ngasa, Kavumbagu, Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0ws6VsqppOqcnPXpWjrCPPJypu2xdxHoAb0yxL4uIpOi38PSO3J4iIdmSujS6p9maCxnM7pIkIMkAl7qhasSyZ/KOCHAYANGA.gif?width=650)
Kocha raia wa Uingereza aipa Yanga mbinu za kuing’oa Al Ahly