LINAH ALAMBA MKATABA KINYWAJI CHA ‘JEBEL’
![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJPao6jdB76RDR8-SgLl4hCpXTq-7NDHxM2e3KP-9H5fUJv1jgKpMMAX-8Nbgbn2ca2XaX8AXXKpjM9aF47JrRyj/1.jpg?width=650)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Serengeti Brewers Ltd, Steve Gannon (kushoto) akimpa mkono wa pongezi Linah (katikati) baada ya kukubali kusaini mkataba wa kuwa Balozi wa Jebel. Kulia ni meneja wa Linah, Tonny Akwesa, akishuhudia makabidhiano hayo. Linah (kulia) akisaini mkataba huo na Mkurugenzi wa Serengeti, Steve Gannon, ndani ya ukumbi wa mikutano uliopo katika ofisi kuu za kampuni hiyo Temeke, Chang’ombe, jijini...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLQ-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO
9 years ago
Habarileo07 Oct
Kocha Mkwasa alamba mkataba
HATIMAYE Kocha Charles Mkwasa ameingia mkataba wa kudumu wa mwaka mmoja na nusu na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kukinoa kikosi cha timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars. Mkataba huo ulisainiwa jana Dar es Salaam na umeanza kufanya kazi kuanzia Oktoba 1, mwaka huu hadi Machi 31, 2017.
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Kayala alamba mkataba wa albamu ya pili
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili aliyetamba na kibao cha ‘Siwema’, George Kayala, ameingia mkatabawa mwaka mmoja na Studio ya Deey Records ya jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya albamu yake ya pili ambayo bado hajajua ataiitaje.
Mwimbaji huyo ambaye ni mwandishi wa habari wa Burudani wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, alisema amesharekodi wimbo mmoja kwenye studio hiyo iliyopo Mwembechai, jijini Dar es Salaam, chini ya prodyuza Ramadhan Lwambo.
“Huduma ya...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Jokate alamba mkataba Sh8.5 bil
10 years ago
MichuziKIWANDA CHA KONYAGI CHAZINDUA KINYWAJI CHA ZANZI CHENYE LADHA ZA CHOCOLATE NA KAHAWA
9 years ago
MichuziJAMII YASHAURIWA KUTUMIA KINYWAJI CHA TREVO
Pia aliongezea kuwa Kinywaji cha Trevo ni kinywaji kilichotengenezwa kwa ubora wa hali ya juu kinaachuhusisha vyakula mbalimbali nyenye kiwango kikubwa vya virutubisho na kutoka mataifa...
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Kinywaji cha OH2 Energy drink gumzo SabaSaba
Vinywaji vya OH 2 vikiwa kweywe friji.
Na Mwandishi wetu,
KINYWAJI chenye ladha laini ya kupunguza uchovu na kuongeza akili na nguvu mwilini cha OH2 Energy Drink ‘Great Taste’ or ‘Test you want’ kimekuwa gumzo kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya biashara ya 38, Dar es Salaam ‘Sabasaba’ yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam kwa watu mbalimbali kukinunua kwa wingi.
Kwa mujibu wa Marketing Manager wa kinywaji hicho, Oliver alieleza kuwa, kinywaji...
10 years ago
MichuziKINYWAJI CHA SHUDA COCKTAILS CHAZINDULIWA JIJINI DAR
Meneja Masoko ya Kinywaji cha Shuda Cocktails, Bernadetha Daudi akiongea...
10 years ago
GPLKINYWAJI CHA SHUDA COCKTAILS CHAZINDULIWA JIJINI DAR