Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


El-Shamma yamweka kambini Kayala

MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, George Kayala, ameingia kambini kwa ajili ya kujinoa kurekodi video ya wimbo wake mpya wa ‘Siwema’ akiwa chini ya usimamizi wa El-Shamma Production ambayo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ebola yamweka chini ya karantini

Mtanzania aliyetoka nchini Senegal, Mkazi wa Uru, wilayani Moshi Vijijini, amewekwa chini ya karantini katika wodi maalumu ya Hospitali ya Mawenzi, mjini Moshi akishukiwa kuwa na ugonjwa hatari wa ebola.

 

11 years ago

Mwananchi

PSG yamweka sokoni Cavani

Manchester United, Chelsea na Arsenal watalazimika kutoa kiasi cha pauni 60 milioni kwa ajili ya kumsajili Edinson Cavani, kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala ya soka wa Jarida la talkSPORT la Ufaransa, Julien Laurens.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yamweka pembeni Dk Slaa

Baraza Kuu la Chadema limeridhia Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa apumzike wakati chama hicho kikiendelea na mchakato wa Uchaguzi Mkuu baada ya kiongozi huyo kutofautiana nao katika uamuzi wa kumkaribisha Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

 

10 years ago

Vijimambo

UTATA MTOTO WA FLORA... FAMILIA YAMWEKA KIKAANGONI...MWENYEWE AJIKAANGA

Mwimba Injili maarufu Bongo, Flora Mbasha akiwa amejifungua kitoto kichanga Hospitalini.Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho karibu na familia ya Mbasha, familia hiyo ilikutana Jumamosi iliyopita nyumbani kwa Ima, Tabata-Kimanga, Dar ili kulizungumza suala hilo na kuona kama wanaweza kukubaliana kukilea kichanga hicho endapo ni damu yao.“Ndugu walitofautiana, kila mtu alikuwa na mtazamo wake hivyo wakaona bora wakutane na kutafuta jibu la pamoja kama wanalea au hawalei,” kilisema chanzo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kayala aomba sapoti Agosti 9

MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, George Kayala  amewaalika wadau wote wa muziki wa injili jijini Dar es Salaam kufika katika uzinduzi wa albam yake ya kwanza iItwayo ‘Siwema’ utakaofanyika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kayala ajipanga kufanya makubwa

MUIMBAJI wa nyimbo za injili anayetamba na wimbo ‘Siwema’, George Kayala, ameahidi kuweka rekodi katika uzinduzi wa albamu yake ya ‘Siwema’ utakaofanyika katika Kanisa la WRM, Matembele ya Pili Kivule...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Best Records kumfanyia makubwa Kayala

UONGOZI wa Studio ya Best Records iliyopo Salasala jijini Dar es Salaam, imesema itazirekodi kwa ubora wa hali ya juu nyimbo saba za mwimbaji wa injili nchini, George Kayala, ili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bahati Bukuku amtoa chozi Kayala

MUIMBAJI anayetikisa anga la nyimbo za Injili na kibao cha ‘Siwema’, George Kayala, ameelezea masikitiko yake kutokana na ajali mbaya ya gari aliyopata mkali wa muziki huo nchini, Bahati Bukuku,...

 

9 years ago

Mtanzania

Kayala alamba mkataba wa albamu ya pili

GEORGE-KAYALA-2NA MWANDISHI WETU

MWIMBAJI wa nyimbo za injili aliyetamba na kibao cha ‘Siwema’, George Kayala, ameingia mkatabawa mwaka mmoja na Studio ya Deey Records ya jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya albamu yake ya pili ambayo bado hajajua ataiitaje.

Mwimbaji huyo ambaye ni mwandishi wa habari wa Burudani wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, alisema amesharekodi wimbo mmoja kwenye studio hiyo iliyopo Mwembechai, jijini Dar es Salaam, chini ya prodyuza Ramadhan Lwambo.

“Huduma ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani