Chadema yamweka pembeni Dk Slaa
Baraza Kuu la Chadema limeridhia Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa apumzike wakati chama hicho kikiendelea na mchakato wa Uchaguzi Mkuu baada ya kiongozi huyo kutofautiana nao katika uamuzi wa kumkaribisha Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 May
MSIBA WA KADA WA CHADEMA KALOLO, VYAMA VYAWEKA UPINZANI PEMBENI NA KUFANYA MAZISHI YA KIHISTORIA
Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA
9 years ago
Habarileo02 Sep
Slaa aivaa Chadema
BAADA ya kutoweka hadharani tangu Julai 28, mwaka huu, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa amejitokeza hadharani na kuelezea kilichomsibu, akiweka wazi kwamba amestaafu siasa baada ya chama hicho kumpokea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa ambaye amesisitiza hawezi kukwepa kashfa ya Richmond.
10 years ago
TheCitizen04 Aug
Chadema: We’re moving on without Slaa
10 years ago
Daily News17 Sep
Chadema re-instals Slaa as SG
Daily News
Chadema re-instals Slaa as SG
Daily News
THE opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has reappointed Dr Wilbrod Slaa as the party's Secretary General for a further five-year term. He will be the party's executive leader until 2019. He was appointed to the position for the first ...
9 years ago
Daily News01 Sep
Slaa slams Chadema on Lowassa
IPPmedia
Slaa slams Chadema on Lowassa
Daily News
CHADEMA has lost credibility and public trust for accepting former Prime Minister Edward Lowassa who has incessantly been implicated in various corrupt practices, the opposition party's former Secretary General, Dr Willibrod Slaa, charged in Dar es ...
Lowassa promises to control national debtIPPmedia
all 4
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Dk. Slaa kurejea ofisini Chadema
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, anatarajiwa kuwasili ofisini kwake leo, baada ya kutoweka tangu Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, alipojiunga na chama hicho hivi karibuni.
Hatua hiyo inakuja siku chache baada ya Baraza Kuu la chama hicho kuridhia apumzike kwa muda, baada ya kutofautiana na Kamati Kuu kwa kile kilichoelezwa kumkaribisha Lowassa.
Vyanzo vya uhakika ndani ya Chadema vilivyozungumza na...
10 years ago
TheCitizen09 Mar
Slaa’s safety worries Chadema
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Dk. Slaa aichojoa ndoa ya CHADEMA na Lowassa
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu azma yake ya kuachana na siasa na kuwa mwananchi wa kawaida katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam leo kwenye hoteli ya Serena.
Na Mwandishi wetu
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa ameeleza Watanzania kwamba amestaafu siasa baada ya chama hicho kumpokea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.
Aidha amesema kwamba pamoja na yeye kushiriki katika mazungumzo...
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Wamiminika Ofisi za Chadema ‘kumlaki’ Dk Slaa