Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema yamweka pembeni Dk Slaa

Baraza Kuu la Chadema limeridhia Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa apumzike wakati chama hicho kikiendelea na mchakato wa Uchaguzi Mkuu baada ya kiongozi huyo kutofautiana nao katika uamuzi wa kumkaribisha Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MSIBA WA KADA WA CHADEMA KALOLO, VYAMA VYAWEKA UPINZANI PEMBENI NA KUFANYA MAZISHI YA KIHISTORIA

Diwani wa kata ya Mvinjeni Frank Nyalusi Chadema akiweka udongo Ndugu  wakiweka mashada Ndugu wa kalolo kutoka Kenya  akiweka shada Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Salim Asas akiweka  shada la maua  katika kaburi la kada maarufu wa Chadema mkoa wa Iringa Gervas Kalolo  wakati wa mazishi  yaliyofanyika makaburi ya Mtwivila mjini Iringa Mstahiki meya  Amani Mwamwindi  akiweka  shada la maua.
Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Habarileo

Slaa aivaa Chadema

BAADA ya kutoweka hadharani tangu Julai 28, mwaka huu, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa amejitokeza hadharani na kuelezea kilichomsibu, akiweka wazi kwamba amestaafu siasa baada ya chama hicho kumpokea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa ambaye amesisitiza hawezi kukwepa kashfa ya Richmond.

 

10 years ago

TheCitizen

Chadema: We’re moving on without Slaa

It’s now official. Dr Willibrod Slaa has parted company with Chadema. Chadema chairman Freeman Mbowe said yesterday that the party was prepared to move on without its hitherto secretary-general.

 

10 years ago

Daily News

Chadema re-instals Slaa as SG


Daily News
Chadema re-instals Slaa as SG
Daily News
THE opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has reappointed Dr Wilbrod Slaa as the party's Secretary General for a further five-year term. He will be the party's executive leader until 2019. He was appointed to the position for the first ...

 

9 years ago

Daily News

Slaa slams Chadema on Lowassa


IPPmedia
Slaa slams Chadema on Lowassa
Daily News
CHADEMA has lost credibility and public trust for accepting former Prime Minister Edward Lowassa who has incessantly been implicated in various corrupt practices, the opposition party's former Secretary General, Dr Willibrod Slaa, charged in Dar es ...
Lowassa promises to control national debtIPPmedia

all 4

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Slaa kurejea ofisini Chadema

slaaNA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, anatarajiwa kuwasili ofisini kwake leo, baada ya kutoweka tangu Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, alipojiunga na chama hicho hivi karibuni.

Hatua hiyo inakuja siku chache baada ya Baraza Kuu la chama hicho kuridhia apumzike kwa muda, baada ya kutofautiana na Kamati Kuu kwa kile kilichoelezwa kumkaribisha Lowassa.

Vyanzo vya uhakika ndani ya Chadema vilivyozungumza na...

 

10 years ago

TheCitizen

Slaa’s safety worries Chadema

>Opposition party Chadema yesterday accused one of its security officers of being used by CCM to spy on the party’s secretary general, Dr Willibrod Slaa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk. Slaa aichojoa ndoa ya CHADEMA na Lowassa

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu azma yake ya kuachana na siasa na kuwa mwananchi wa kawaida katika mkutano uliofanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Fadhili Akida).

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu azma yake ya kuachana na siasa na kuwa mwananchi wa kawaida katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam leo kwenye hoteli ya Serena.

Na Mwandishi wetu

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa ameeleza Watanzania kwamba amestaafu siasa baada ya chama hicho kumpokea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.

Aidha amesema kwamba pamoja na yeye kushiriki katika mazungumzo...

 

10 years ago

Mwananchi

Wamiminika Ofisi za Chadema ‘kumlaki’ Dk Slaa

Baadhi ya wanachama na mashabiki wa Chadema jana walifika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni Dar es Salaam kumsubiri Katibu Mkuu, Dk Willbrod Slaa baada ya kuenea uvumi kuwa angeingia ofisini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani