Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MARK ZUCKERBERG KUCHANGIA EBOLA

Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg (kulia) akiwa na mkewe, Priscilla Chan. Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema yeye na mkewe Priscilla Chan, watachanga dola milioni 25 za kusiadia vita dhidi ya Ebola.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg achangia shilingi bilioni 42 kusaidia mapambano dhidi ya Ebola

Mwanzilishi na CEO wa mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg ameamua kushiriki katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola, kwa kuchangia dola milioni 25 sawa na shilingi za Kitanzania bilioni 42. Zuckerberg mwenye utajiri unaokadiriwa kufikia dola bilioni 30, alitangaza msaada huo kupitia ukurasa wake wa Facebook. “Priscilla and I are donating $25 […]

 

9 years ago

Bongo5

Mark Zuckerberg kuwapa maskini asimilia 99 ya share zake za Facebook

1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg jana ametangaza kuwa ataitoa asilimia 99 ya share zake katika mtandao huo wenye thamani ya dola bilioni 45 kwa maskini na mahitaji muhimu ya binadamu.

1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4

Mwenyekiti huyo mtendaji wa Facebook alitangaza hatua hiyo kwenye barua kwa binti yake aliyezaliwa wiki hii, Max.

Zuckerberg na mke wake Priscilla Chan, walianzisha taasisi ya Chan Zuckerberg Initiative kwaajili ya kusaidia elimu, kutibu maradhi na kuunganisha watu. Katika maamuzi yake hayo,...

 

9 years ago

Bongo5

Facebook kuanza majaribio ya button mpya ya ‘dislike’ hivi karibuni— asema Mark Zuckerberg

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema kuwa wanalifanyia kazi ombi la kuongeza button ya ‘dislike’ ambayo imekuwa ikiombwa na watumiaji wengi wa mtandao huo. Mark amesema kuwa muda si mrefu wataanza kuifanyia majaribio button hiyo; “Tumewasikia na tunaifanyia kazi na tutawaletea kitu kitakachokidhi mahitaji ya jamii kubwa. Watu wamekuwa wakiulizia kuhusu button ya […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Zuckerberg kutoa utajiri wake ‘kwa maskini’

Mwasisi wa Facebook Mark Zuckerberg na mkewe Priscilla Chan wamesema watatoa 99% ya hisa zao kwenye kampuni kuwasaidia binadamu.

 

9 years ago

TheCitizen

New dad Zuckerberg vows to give away Facebook fortune

 Facebook co-founder Mark Zuckerberg announced Tuesday he is a dad and pledged to give away his fortune to make the world a "better place" for baby daughter Maxima and others.

 

11 years ago

TheCitizen

Is this a mark of good governance, mr mp?

Mr Victor Mwambalaswa, who is MP for Lupa, happens to be chair of the Parliamentary Committee on Energy and Minerals, an oversight body tasked with monitoring the operations of the Ministry of Energy and Minerals and all its agencies.

 

9 years ago

TheCitizen

Road construction leaves a mark

President Jakaya Kikwete is on the verge of finishing his ten years as the head of state. But he is going out leaving behind a mark on construction sector, notably on the construction of roads.

 

10 years ago

TheCitizen

School cut-off mark given stop

>The government has ordered private schools in the country to stop discontinuing students who do not attain the pass mark set by their institutions.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Church to Mark 50th Anniversary


Daily News
Church to Mark 50th Anniversary
AllAfrica.com
THE Anglican Church of Tanzania, Dar es Salaam Diocese, expects to mark its 50th anniversary at St Albano Church in the city on 5TH July, this year. The diocese was established in July 1965 following the division of former Zanzibar-Dar es Salaam Diocese ...
Dr Mokiwa: Beware of dishonest politiciansIPPmedia

all 3

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani